clonazepam
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 247
- 281
Nenda kwenye official channel yake youtube upo.Mwenye wimbo wa Sugu unaitwa Muziki na Maisha atupie hapa tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliimbwa na parapanda arts hata mm nautafuta sana unaitwa tufungulieni mwenye huo wimbo msaada jaman naupenda sana.Naomba wimbo wa kwaya flani ya watoto wa Makete, ya kipindi cha miaka ya 2008 kurudi nyuma (Sina uhakika mwaka exactly).
Ilikuwa inawekwa sana na kituo cha ITV.
Baadhi ya maneno "tumekuwa walezi, badala ya kulelewa."
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa majamaa walikuwa homa ya Dunia!Dotinata ya kwao Fm akademia wazee wa ngwasuma,,,
Nikipatiwa ya live show ni bora zaidi,
Nyoshi el sadat(sauti ya umeme),
Mulemule (FBI),
Patcho mwamba,
King blaze,
Pablo masai,
Totoo ze bingwa n,k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msupport kwa kununua kazi zake mkuu yeye mwenyewe anaziuza hizo nyimbo ili ajikimu.
mkuu wimbo wa mike tee ft banana zorro “niacheni mie”
Enyoy mkuu Quality safi kabisa.Mwenye Nyimbo ya Twanga Pepeta - Mwana Dar es salaam. Nahitaji sana yenye quality nzuri original Mp3.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja