[emoji848][emoji848][emoji849][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Kuna jamaa anaimba kluuuuuuuu pumpumpumpuu sikia kenkenkenke
Jaman naomba mnisaidie jina la wasanii walio imba wimbo huu, na jina la wimbo pia ikiwezekana. Ili niweze kuutafuta.
" nikikupa kupa kuupa utalewaa aah, nanikikunyiima dhuruma ×2.
Nishachoka mie, usichokoo ×3 "
Wakuu naombeni msaada wenu kuna winbo nimekuwa nikiutafuta sana lakn sijawai kuuoata tatzo sijuwi jina lake ila kionjo chake kuna sehem wanaimba ..bolingo bolingo sakiee mamieeee mami saakii
Natafuta wimbo wa ngandepwa ndepwaHuu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Asante sana. [emoji1666][emoji1666]
EnyoyMimi natafuta wimbo Ameimba Jay moe alafu kiitikio kaimba t.i.d unaitwa tingisha Kama kiberiti ,nimetafuta huu wimbo lakin wapi , unanikumbusha enzi Niko form one mwaka2005 ulipigwa siku ya kutupokea aisee lile disco siwez lisahau ,sasa huo wimbo ulipigwa Zaid ya Mara Mia
Hapo pagumuKuna rhumba moja hivi kali sana, siujui jina, manake ningekuwa naujua ningeupata you tube, sijui nafanyaje mimi
Daaah we mtu ubarikiwe Sana yaan hii ngoma saiz naipiga Mara Mia miaEnyoy