Nenda gugo andika hivovo unakuja automaticWakuu naombeni jina huyu Msanii
Wimbo unaitwa ikuweme nahisi ni mnaijeria
Sijakusoma mkuuLutandira albam zote
tanzanite chaupele nmeitafuta hii ngoma leo nmeamua kuiweka humu kama kumbukumbu siku nikiihitaji najua nitaipata humu
Km Kiitikio chake kina maneno haya ninakupa moyo wangu uuweke mpenz, usije tupa jalalani usipuuze penz langu usijeliwa na mafunza ukapotea milele huzuni nikiuona moyo wako u jalalani. Basi utakuwa ni wimbo unaitwa moyo kaimba jaydee na papii kochaHabari wa kuu, kunawimbo wa machozi band kwa jina siujui , nimejaribu kuutafuta kwa lyrics zake bila mafanikio , kwa anayeujua naomba anisaidie . Baadhi ya maneno ya wimbo huo ni haya "moyo ni nyama tupu , ukioza wapotea haibaki mifupa , nakukabidhi uutunze" inawezekana lyrics sijapangilia vizuri , natanguliza shukrani
Nnazo hizo nyimbo, ila hta youtube zinapatikana.Nisaidieni nyimbo hizi za dini wakuu;
1-Kwa nini wasimama mbali ya katoliki
2-Mungu wangu mbona umeniacha ya katoliki
3-Navumilia ya katoliki
4-Chenga ya mwili ya katoliki
Nnazo hizo nyimbo, ila hta youtube zinapatikana.
Hata siujui kwa kweliAmukila Muyaya kofiolomide
Huu wimbo unaitwaje
Amukila Muyaya kofiolomide
Huu wimbo unaitwaje