Amukila Muyaya kofiolomide
Huu wimbo unaitwaje
Defao ft Suka chile CheztembaNatafuta nyimbo moja ina mashairi haya " Kosa langu baba unihurumie , Mie sitak mei sitaki"
Unaitwa Simba Tamu!Ndugu wazee kuna wimbo mmoja nautafuta sana wa bendi ya zamani (nadhani Jamhuzi au Western Jazz). Siukumbuki jina lake lakini chorus yake inaimbika kama nilivyorekodi kwenye audio (attached). Naomba aliye nao au anayefahamu tittle ya huo wimbo anisaidie jamani. Natanguliza shukrani.
Ila sio wimbo huu naoutafutaHuyu mwanadada anasauti moja hatari Sana!!!!!
Mkuu kuwa serious basi. Mimi natafuta wimbo kwa muda mrefu bila mafanikio afu wewe unaniletea utani? You cant be serious dude!Unaitwa Simba Tamu!
Download app hii Nyimbo za kikatoliki - Apps on Google Play, ziko nyimbo recently na za kutosha mimi mwenyewe huwaga naitumia sanaWanajamii kama Heading inavyosema nisaidieni Mwenzenu Nahitaji nyimbo za kwaya/Dini ya Roman Catholic kama unazo nisaidie ku upload hapa nami nitasave!
Mbarikiwe katika Jina La Bwana!
MKATOLIKI
Hmmm, zinaendanaje na nyimbo za kikatoliki?Tafuta wimbo wa ney wamitego unaoitwa WEE MKUU NDUGU YANGU
Kati ya Gospel ambazo ni "The Best" kwa RC, ni zile walizoimba mwaka 1990 wakati wa ujio wa Baba Mtakataifu Papa Yohanne Paul II. Nasikia ukienda pale St. Joseph Cathedral zipo wanaweza kukuuzia.Wanajamii kama Heading inavyosema nisaidieni Mwenzenu Nahitaji nyimbo za kwaya/Dini ya Roman Catholic kama unazo nisaidie ku upload hapa nami nitasave!
Mbarikiwe katika Jina La Bwana!
MKATOLIKI
Kweli aiseeKati ya Gospel ambazo ni "The Best" kwa RC, ni zile walizoimba mwaka 1990 wakati wa ujio wa Baba Mtakataifu Papa Yohanne Paul II. Nasikia ukienda pale St. Joseph Cathedral zipo wanaweza kukuuzia.
Mojawapo ya nyimbo zilizopigwa kipindi hicho ni huu hapa:
Sasa hizo nyimbo zipo na ni Album nzima, na nyimbo zote ni kali muno.Kweli aisee
Ni kwaya ya Mt Judethadeus jimbo kuu mbeya, Mashahidi wa Uganda nzovwe na Mwenyeheri anuariteSasa hizo nyimbo zipo na ni Album nzima, na nyimbo zote ni kali muno.
Vipi unaweza ukawa una idea hawa waimbaji walioimba hapa siku ya kusimikwa Baba Askofu Gervas Nyaisonga huko Mbeya; ni kwaya gani? Kuna wimbo waliimba hapa ni mzuri sana; sema tu wimbo hausikiki vizuri sana. Jaribu kuusikiliza huu hapa:
Lady Jaydee ft Banza Stone.Habari wa kuu, kunawimbo wa machozi band kwa jina siujui , nimejaribu kuutafuta kwa lyrics zake bila mafanikio , kwa anayeujua naomba anisaidie . Baadhi ya maneno ya wimbo huo ni haya "moyo ni nyama tupu , ukioza wapotea haibaki mifupa , nakukabidhi uutunze" inawezekana lyrics sijapangilia vizuri , natanguliza shukrani
Wanaimba vizuri sana. Unaweza kunitafutia wimbo huo kwenye youtubeNi kwaya ya Mt Judethadeus jimbo kuu mbeya, Mashahidi wa Uganda nzovwe na Mwenyeheri anuarite