Kuna nyimbo inaimbwa kuwa
"Baba kaleta panyaa baba kaleta panyaa wee usiseme panya sema chamaki nchanga mwenye nyumba hii ni mamkonde akisikia utafukuzwa utarudi kwenu Ntwara"
Nisaidieni hii nyimbo huwa na mkumbuka sana Marehem Baba yangu alikuwa anaupenda mno.
ungetaja jina lake niweze kuupata kwa uraisi ila ninao
Asantee sana broo...
Cosmas Chidumule
"Libarikiwe neno hili" na
"Ya nini Mizigo hiyo"
Menye nazo hizo msaada
asante sana
Cosmas Chidumule
"Libarikiwe neno hili" na
"Ya nini Mizigo hiyo"
Menye nazo hizo msaada
Wakuu nisaidieni hapa,
Kwenye tangazo la kipindi cha Nirvana East Africa TV (EATV) kuna beat ya wimbo huwa inapigwa wakati tangazo la kipindi husika linaisha, anaye fahamu jina la ule wimbo naomba anisaidie.
Huo wimbo niliwahi kuwa nao zamani sanaaa... Kama niko sahihi umeimbwa na mwanamke na mwanaume... Mmoja wao anaitwa Juliana.
Video yake nakumbuka kila mmoja alikuwa anapita njia yake mwisho wakakutana ufukweni...nisaidieni wakuu.
Kuna kile kipindi cha 'je wajua..' cha yusuph magashi, miaka ile jumapili Radio free africa
Ile instrumental iliyokuwa inatumika mule design kama kinanda flani hivi muruwa
Naitafuta sana mwenye kuijua anijuze
Msaada wadau,attachment ikiwa hivi inafunguka kwa kutumia app gani maana mimi nikiifungua inanipeleka kwenye majukwaa mengine ya jf badala ya kufunguka
Mkuu ingawa mimi sio nilioomba hizi nyimbo lakini ahsante umetukumbusha mbalI sana. Naomba mkuu kama unazo zile nyimbo za Kwaya ya Iringa nimeisahau jina lake ila ni ya zamani na nyimbo zake zilianza kutoka kabla ya hizi.
Hapana..huo wimbo unatumika kwenye kipindi cha "sitosahau" baada ya "je wajua?" Kuisha..cha kufanya jamaa kipindi kikianza tu afungue Shazam ataupataReal love -massari
Huu wimbo sijui hata km kuna mtu anao aisee kama umepata fanya kunipanatafuta nyimbo ya Kassim Mganga - Usinune
mwenye nayo afanye namna
Wimbo wa hk huo unaitwa tatizo outNatafuta Huu Wimbo Siupati Wanaimba Hivi
Mpenzi Amekasirika Hataki Tena Kunionaaa Halafu huku mbele Wanaimba Aaah Tight Tight Aaah Tight Tight