Ukiachana na nyimbo hii ya Kenny G ya forever in love kuna nyimbo nyingine inapigwa trumpet inawekagwa kwenye kipindi cha usiku cha radio nahitaji kuijua
Inawezekana ikawa ni Kenny huyohuyo kwa sababu nyimbo zake huwa kama zinafanana na ni instrumemtals tu
 
Natafuta wimbo ulioimbwa na Mbaraka Mwinshehe wa Super Volcano unaoitwa "Tabia Njema ni Silaha" Kuna clone iliyoimbwa na binti yakr haina ladha nzuri, halafu kuna mtu alipost kipande kifupi pale Youtube ambacho hakitioshi. Nautafuta wimbo wote
 
Natafuta wimbo wa mwana fa unaitwa wakati umelal, kolas yake, ni miwakilisho ya misuko suko kiza linapataanda wakati umalala ooh wengine tunafiki ,,,, . Tayali kiza la magharibi lishatanda itafika ausubui ni wazo la matajili, mchana wote askali ucku , mali hulindwa kwa ulinzi mkali mwenye nayo tafadhali whatsap 0785332010

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Natafuta wimbo ulioimbwa na Mbaraka Mwinshehe wa Super Volcano unaoitwa "Tabia Njema ni Silaha" Kuna clone iliyoimbwa na binti ya haina ladha nzuri, halafu kuna mtu alipost kipande kifupi pale Youtube ambacho hakitioshi. Nautafuta wimbo wote
YouTube upo, inawezekana pia kwenye hii thread upo, kama utakuwa haujaupata kesho nitakuwekea kama nitakuwa nao huo wa Mbaraka.
 
YouTube upo, inawezekana pia kwenye hii thread upo, kama utakuwa haujaupata kesho nitakuwekea kama nitakuwa nao huo wa Mbaraka.
Uliopo Youtube umeanzia katikati. Ninataka wote kuanzia mwanzo.

 
Uliopo Youtube umeazia katikati. Ninataka wote kuanzia mwanzo.

Huo alioimba Mbaraka nilionao ni kama huo wa YouTube, aujaanzia mwanzo, jamaa uko YouTube wamemuomba awawekee uliokamilika naona amekuwa kimya!

Nakuwekea uliorudiwa nao ni mzuri, natumaini utaufurahia wakati kama kutakuwepo na member mwenye wimbo wenyewe wa Mbaraka uliokamlika.

Sijui waliimba nani ila nilikuwa nimeandika DDC Mlimani Park Orchestra lakini sidhani kama ni DDC waliourudia. kabda kama kuna member anaweza kusaidia ni bendi gani uliurudia huu wimbo.

Your browser is not able to play this audio.
 
Huu uliimbwa na binti yake Taji Mbaraka, siyo mzuri kama ule original aliotoa Mbaraka mwenyewe.
 
Kuna wimbo natafuta sana unaanza hivi tururutururu ntantantanta......sijuwi ni wimbo gani.
 
kuna wimbo umeimbwa na "sleeping lions music" unaitwa "parks" nauonaga tu kwenye insta reels lkn siupati popote pengine.
 
Wakuu mwenye hizi nyimbo kwenye library yake anisaidie tafadhali:
1. Tid - Sauti ya dhahabu
2. Ney - Mitego
3. ??( nimemsahau msanii na wimbo) kiitikio kimeimbwa
"Shani wangu nakupendaaa ooh mi nakupendaaa,
Shida nilizozipata anajua ye mwenyeeeziiii..x3"


Nawasilisha
 
Bendi ni MLIMANI PARK ORCHESTRA na wimbo unaitwa FIKIRINI NISAMEHE.

View attachment 2477746
Siku hizi Tanzania hakuna muziki kabisa pamoja na kutumia kompyuta na electronics nyingi. Wanazamuziki wote Tanzania leo ni wababaishaji tu; utasikia wanajaribu kurembua sauti zao kuimba ziwe nyororo badala ya kuzitoa zote kwa ufundi kama walivyokuwa wanafanya majamaa haya ambayo hayakuwa na computer yoyote wakati huo.
 
African Revolution band , Albam - Tunda...
Nikipata nyimbo zote itakua poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…