Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
wakuu naomba kujua jina la bendi na wimbo huu . ni wimbo wa kizamani hi mashairi yake ni haya.

"Fikiri naomba unisamehe kushindwa kutoka hapa kwetu nyumbani.
"Najuta eh najuta nimekosa najuta eh najuta nisamehe .
"Fikiri anomba unisamehe naomba turudiane ahhh najuta eh najuta eh najuta nimekosa najuta eh najuta"
 
wakuu naomba kujua jina la bendi na wimbo huu . ni wimbo wa kizamani hi mashairi yake ni haya.

"Fikiri naomba unisamehe kushindwa kutoka hapa kwetu nyumbani.
"Najuta eh najuta nimekosa najuta eh najuta nisamehe .
"Fikiri anomba unisamehe naomba turudiane ahhh najuta eh najuta eh najuta nimekosa najuta eh najuta"
Bendi ni MLIMANI PARK ORCHESTRA na wimbo unaitwa FIKIRINI NISAMEHE.

 
Wakuu kuna wimbo wa KISABATO nautafuta bila mafanikio naomba aliye nao anisaidie. Sifahamu title ya wimbo ila nakumbuka mashairi machache yaliyomo kwenye wimbo huo ambayo ni baadhi ya haya yafuatayo:

Naililia sayuni, ambako hakuna magonjwa.
Mwokozi utarudi lini, utuchukue twende mbinguni.


Inawezekana nimekosea mashairi kwa namna moja au nyingine ndugu wadau lakini mashairi yake ni kama hayo niliyoweka hapo juu.

Please assist ✅
 
Kuna Wimbo Ulikua unapigwa sana alhamisi kipindi cha ukimwi radio one, baadhi ya mistari ina sema, “hapa nilipo najihisi si mzima ila sasa naogopa kwenda pima, kama nkijulikana nna ngoma mbele ya jamii si itakua noomaaa, labda ni maleria tu ,no, naogopa nitatengwa na watu sitapendwa…. “

sijajua ni dogodogo star or kina nani mwenye nao nauomba naukubali sana
 
Mimi natafuta nyimbo mbili lakini sijui zinaitwaje na wala kaimba Nani.mmoja una kipengele kinaimbwa_ Mjini umekuja juzijuzi kwenu ulikuwa unafuga mbuzi.sikujua kuwa ni nuksi mpenzi umemkuwadia mdosi._mwingine kuna kipengele kiko hivi= Hoi hoi hoi mimi naliaa Hoi hoi hoi parapanda italia. Yaani nazitafuta sana
Sumalee feat joh makini - rafiki
 
Back
Top Bottom