Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Ahsante mkuuKibaboy Music DOWNLOAD Free MP3 Songs Nyimbo Mpya
Get the latest Tanzanian Music, Afrobeats, Amapiano, MP3, Mp4, Bongo Fleva, Kenyan Sonngs and African Entertainment News on Kibaboy.www.kibaboy.com
Nimekubali Ndugu mdau. Unajua huu wimbo naufahamu kitambo nadhani zile enzi za Gauo. Sema kukumbuka jina ndio utata ulipo. SafiNenda YouTube kacheki wimbo inaitwa HOZA umeimbwa na jamaa wanajiita Nigui Saff utanishukuru[emoji3]
Daaaaah umenikumbusha Radio one kila jumamosi asubuhiNatafuta wimbo wa Cards arts ulikuwa unapigwa redio one kipindi Cha watoto zamani za utoto wangu kabla ya kipindi na baada ya kipindi;
'watoto wasafi moyoni, Ni nyota za macho ya wazazi, sisi ni Maua,tuliyoopendwa na Mungu mwenyezi....'
Mwenye kuwa nao, please share
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Vadi art haoDaaaaah umenikumbusha Radio one kila jumamosi asubuhi
Hiyo ni jina la Mkwawa hao zilitiririka wana nyimbo nyingiKuna nyimbo ya dini inaitwa zilitiririka, naitafuta sana
Hii muvi kama unayo nibariki nduguKIOO
Nilikua natafuta SOUNDTRACK ya movie ya MY DARLING ya Mussa Banzi ndani ya movie kaimba yule KIPOFU aliitwa TAFU
Eeebwana eeeh lile Beat sijui alinyonga P FUNK MAJANI
Maana ni balaa nikikumbuka.
Natanguliza Shukrani View attachment 2691143
Kuna nyimbo ya dini inaitwa zilitiririka, naitafuta sana
Sina Ndugu ,hata YouTube nahisi waliitoa ilikuwepo kipindi cha miaka ya 2017 huko saizi nikiingia siioniHii muvi kama unayo nibariki ndugu
Aise uliupata mkuu? Share tafadhari
Natafuta nyimbo ilikua inapigwa na zamaaani radio tanzania n ya watoto inaimbwa hiviii
" watoto wasafi moyoni n nyota za wazazi sisi ni maua tuliopandwa na Mungu mwenyeziiiii lalalalalala lalalalaaaaaaa lalalaaaaa""
Oi, huu wimbo bado haujaupata?Nautafuta huu wimbo ni wakiswahili ila una mahadhi kama ya kiharabu hivi
Lyrics "Aziz wangu wa huba, mpenzi wangu wa rohoni, Aziz wangu kipenzi mpenzi wangu laaziz" kaimba mwanamke anaeufahamu plz nitajie hata jina la msanii mi ntajua namna ya kuupata maana hata jina siujui!
Mungu muweza vyote, mwenye kujua vyote na mwenye uwezo wote anapoteaje? Umemdhalilisha 'Mungu' mkuu. Halafu unajiita mtu mwenye kuamini?Msaada jamani, Mungu hapendi apotee