Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Natafuta wimbo wa Cards arts ulikuwa unapigwa redio one kipindi Cha watoto zamani za utoto wangu kabla ya kipindi na baada ya kipindi;

'watoto wasafi moyoni, Ni nyota za macho ya wazazi, sisi ni Maua,tuliyoopendwa na Mungu mwenyezi....'

Mwenye kuwa nao, please share

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Daaaaah umenikumbusha Radio one kila jumamosi asubuhi
 
KIOO
Nilikua natafuta SOUNDTRACK ya movie ya MY DARLING ya Mussa Banzi ndani ya movie kaimba yule KIPOFU aliitwa TAFU
Eeebwana eeeh lile Beat sijui alinyonga P FUNK MAJANI
Maana ni balaa nikikumbuka.
Natanguliza Shukrani
my_darling.jpg
 
Nazitafuta hizi audio
1. Philbert kabago dear
2. Norichiko nimemfukuza wangu mpenzi
3. Na wimbo mwingine unaimbwa "ni rafiki tu mbona manzi yupo hata yeye anamjua ni rafiki tu"
 
Natafuta wimbo wa kwaya...

SIJUI Jina lake...
Unaimbwa na kwaya za kilutheri....
Baadhi ya maneno.....mimi na wewe leo wazima hiyo ni neema......imetupasa kushukuru mno kwa neema yake......wenzetu wamekosa nini na sisi ni nani.....jambo hili ni jambo la neema tu.....Julie ufikiri.....tunastahilishwa kwa neema......
 
Natafuta nyimbo ilikua inapigwa na zamaaani radio tanzania n ya watoto inaimbwa hiviii
" watoto wasafi moyoni n nyota za wazazi sisi ni maua tuliopandwa na Mungu mwenyeziiiii lalalalalala lalalalaaaaaaa lalalaaaaa""
 
Naomba anaye ufahamu wimbo wa mnanda wenye maneno haya kwenye kibwagizo"baba zulula siyo kweli bwana wee!mtoto umezaa mwenyewe usimchoke bwana ooo!Ayaa njooo,njooo,njooo".

Nauomba.
 
Nautafuta huu wimbo ni wakiswahili ila una mahadhi kama ya kiharabu hivi
Lyrics "Aziz wangu wa huba, mpenzi wangu wa rohoni, Aziz wangu kipenzi mpenzi wangu laaziz" kaimba mwanamke anaeufahamu plz nitajie hata jina la msanii mi ntajua namna ya kuupata maana hata jina siujui!
Oi, huu wimbo bado haujaupata?
 
Msaada jamani, Mungu hapendi apotee-Glory Temple Tabata. Kila nikitafuta unapatikana pacha yake Tafakari Njia
 
Back
Top Bottom