Mkuu mbona una hasira sana? Kuna kwaya inaitwa Glory Temple Tabata, unaitwa Mungu hapendi hata mmoja wetu apoteee. Jina halisi sikumbukiMungu muweza vyote, mwenye kujua vyote na mwenye uwezo wote anapoteaje? Umemdhalilisha 'Mungu' mkuu. Halafu unajiita mtu mwenye kuamini?
Kuna jamaa anaitwa Joh Film yupo pale k/koo anayo hiyo movieSina Ndugu ,hata YouTube nahisi waliitoa ilikuwepo kipindi cha miaka ya 2017 huko saizi nikiingia siioni
Mwimbaji Ni Juma Kakere ft Karama Regesu Wimbo ni BettyYess mkuu, na ndio huo, kama unajua please jina la mwanamuziki au wimbo
Huu wimbo unaitwa chozi la damu umeibwa na kwaya yaMt Kizito makuburi. Ukitafuta utapataNatafuta wimbo ulimimbwa na wanakwaya moja ya mistari inasema hivi; watoto wa mitaani njooni tuungane, tuwalilie wazazi machozi ya damu.
Ahsante sirHuu wimbo unaitwa chozi la damu umeibwa na kwaya yaMt Kizito makuburi. Ukitafuta utapata
Nimetetemeka sana nkajua dpw imeingia.Huyo baba hapo ndio ww chief au ni Dj anatusaidia kutuwekea hizo nyimbo hapa?[emoji1][emoji1]
kama sijakosea utakuwa unatafuta 'here comes the bride'Kuna BEAT fulani hivi huwa linapigwa wakati maharusi wanaingia ukimbini huko Uingereza…nasearch jina gan kulipata Mkuu?
Huu upo ulishaupata? Dah Mi natafuta wimbo wake (stara) unaitwa visa. Hata humu nilicomment ila sikupata response.Wanajamvi kheri?
Nina ugonjwa wa moyo tiba yake ni wimbo wa Stara Thomas ft Chid benz unaitwa "Nini sina " producer Lamar.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa [emoji120]
Mkuu ahsante nimeupataHuu wimbo unaitwa chozi la damu umeibwa na kwaya yaMt Kizito makuburi. Ukitafuta utapata