ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Mkuu mbona una hasira sana? Kuna kwaya inaitwa Glory Temple Tabata, unaitwa Mungu hapendi hata mmoja wetu apoteee. Jina halisi sikumbukiMungu muweza vyote, mwenye kujua vyote na mwenye uwezo wote anapoteaje? Umemdhalilisha 'Mungu' mkuu. Halafu unajiita mtu mwenye kuamini?