American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Wanaitwa TKZEE wimbo unaitwami natafuta wimbo mmoja wa south africa ulikuwa hit song mwanzoni mwa miaka ya 2000. Wimbo wenyewe unaimba wangata akieta so akieta so...
siukumbuki vizuri
Na mimi nautafuta sana Wimbo huu Wa Mr Ebbo - Vipi hatuoni ndani yake ameimba mambo mazito sana!Natafuta wimbo wa mr Ebbo - Vipi hatuoni
you are lifesaver [emoji120] [emoji120]Wanaitwa TKZEE wimbo unaitwa
Huo wimbo nautafuta nadhani unaitwa ACHA WASEME... harafu mshikaji keshatanguliaKuna nyimbo flan ya washkaj walikua wanajiita war will wanamuongelea marehemu. Alaf kuna nyimbo ya jamaa anaitwa Pablo alikua karibu na daz nundaz kaimba na domokaya
Uliimbwa na Marehemu, Marijani Rajabu. Jaribu you tube.Natafuta wimbo ila sijui kaimba nani but ngoja niwape melody kidogo muhuskie *siku ulioondokaa, ulianiacha nalia na machozi wee jojinaa, sipati usingizi ....*
shukrani MkuuUliimbwa na Marehemu, Marijani Rajabu. Jaribu you tube.
Nami nautafuta sana huo wimbo una bonge la solo!Kuna wimbo fulani uliimbwa na Watu fulani ni kama Sokous hivi ndani yake jamaa anasema ''maboko likoloo'' nautafuta sana
Kimalu malu nn!natafuta wimbo wa neema ulopigwa na diamond sound band kipindi hicho cha ukumbi wa silent inn