Nadhani ni ndugu lawama hiyoNimefanya mema mengi kupita uwezo wangu,nimekubeba lakini haubebeki...uzalendo umenishinda...by muumin mwinjuma jina LA wimbo silijui wakuu
Mama Roda.. yupo Na Chamilion..Mi natafuta wimbo wa Bushoke
siujui jina ila maneno yake ndani yanasema"kama ulikua hutaki ishi nami kwani hukuneleeza mapema..........nk....
Huu apa jina jingine unaitwa i'm not a casanova mzee.Natafuta wimbo unaitwa No Sugar Tonight wa Pat Shange.
Sio defao alieimba wimbo huu mkuu mm ninao ila sijui jinsi ya kuweka humu nielekeze nikutumieBend ya olduvai gorge wimbo unaimbwa njaa tumelala
General defao kosalangu baba unii hurumi kama ni watoto fika kwetu kosa utawaona
Koza!!,Sio posaNatafuta wimbo wa defao posa wangu baba unihurumie
Mkuu.. Huu hapa, but nili record from Redio.. Katambo, ila uko vizuri sanaNATAFUTA WIMBO WA DINI, UNAIMBWA. EEEH BWANA WEWE WANITOOSHAAA, KAMA MILIMA IZUNGUKAVYO YERUSALEMU. WANAITWA THE LIFTER'S BAND.
Wakuu mwenye nyimbo za stono musica-mtegemea cha ndugu,msimamo zilizo katika album ya chini ya ulinzi nitafurahi sana nikizipata