Wimbo Wa country sijui jina ila unaimba JOHNNY JOHNNY PLEASE DON'T GO YOU FORGOT ME DAY BY DAY IT'S FIVE YEARS SINCE YOU HAVE BEEN GONE, JOHNNY I MARRIED YOUR BEST FRIEND JACK
 
mkuu habari za mchana mm nilikua naomba mtu mwenye nyimbo zifuatazo; mto wenye mamba wengi mchinga sound, nguzo tano za mapenzi mchinga generation, ndoa ya lazima juma kakere, bana beta beta musica,......

Ndoa ya Lazima sijui kama ni yenyewe!
 

Attachments

Nautafuta wimbo mmoja hivi ulikua unapigwa miaka ya 2002 au 2003 ùlikua unaimbwa hivi,aa mama yangu mama ujue nakupenda aa chakusikitisha fadhila siwezi lipa hali yamaishaa bado inanikwaza.walikua wanaupiga sana craudis ktk siku ya mama duniani
 
Kuna wimbo nausikia sana ukipigwa redioni ila sijabahatika kupata jina lake,ni common sana nadhani atakuwa ameimba Patoranking(Au Mwanamziki wa Uganda) kama sijakosea.

Sina Uhakika na Mashairi yake kama aliimba kiswahili au Lah ila nimesikia kama anaimba "We Party till morning ,Siku nikirudisha Nyuma is Such a beautful woman".
 
Asante sana, kuna ile original version inayoenda taratibu gitaa ndio linasikika zaidi kama unayo nipatie.
 

Qn Closed: Bebe Cool x Sauti Soul - Mbozi za malwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…