*Beibe beibeee nakupenda by Jonh Walker
*Mademu wa leo wanachanganya,mimi na rafiki mpaka tumegombana.Cjui washkaj gan waliouimba huu wimbo!Kitambo xna.
 
*Kama unataka kuja hom by bwana mkubwa
*Oya washkaj mmemwona pita kapita?(aa),by 2nda man enzi hizo kama cjakosea.Mwenye nayo anifanyie munakasha
 
Pia naombeni wimbo wa Ever shine kimara , Bwanaa Mungu kweli wewe wa ajabu, Unatuwazia mawazo yaliomema.
 
Natafuta wimbo wa dani msimamo unaitwa nahisi vitu vingi ,mwenye nao anisaidie naupenda huu wimbo
 
natafuta wimbo wa ngoma za kwetu.."ngoma inogile,ngoma imekoleeaa"ngoma ya tanga...sindimbaaaa
 
Wimbo wa sabato ileya dr. Ndondi anapoanza kipindi cheke enzi zile
 
Kuna wimbo unaimba "am tz man" ni hiphop sijui ni wa nani nimeutafuta holaaa msanii sijui nan na nan wamechana ndani ya ule wimbo
 
Mimi kuna biti nalitafuta sana, ni la south Africa, lilikuwa maarufu sana miaka ya 2000 mwanzoni.
 
Kuna wimbo sikumbuki ali imba nani ila nakumbuka baadhi ya lyrics

Mubembee
Dunia imekwishaaa
Siyo nenooo ni vizuri
Habari nilizo zipata kwako
Ume nikataaa,

Kwa atakaye kuwa anajuwa jina la wimbo au aliye imba naomba anisaidie...
 
Naomba mwenye wimbo "Mwanadamu kumbuka uu mavumbi na utarudi mavumbini" mahsusi kwa ajili ya jumatano ya majivu tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…