Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Copy of JE WAJUA 15 FEB - YouTube<br />YouTube › watch<br /><br />Underground beat inayosikika(kama ya Kenny G) wakati kipindi hiki(Je wajua) kinaendelea ni wimbo wa nani? Achana na Abba- dancing queen, ila hiyo underground beat wakati kipindi kinaendelea ni wimbo wa nani( ni romantical kama Kenny G)
 
Wakuu naomba mwenye kufahamu jina la nyimbo hii na alieimba anisaidie naitafuta sana niliwahi pia kuisikia ikipigwa kwenye movie ya Predator ya Arnold Schwarzenegger naisaka bila mafanikio msaada pls
 

Attachments

Kuna wimbo wa vijana jazz wakiongozwa na Chiriku Maneti, sijui unaitwaje ila ni wa kuisifia ccm.

Unanikumbusha mbali sana wimbo ule, na haina uhusiano wowote wa kisiasa.

Baadhi ya mashairi yake yanasema "hatua si ndogo..tumefikia sasa..ingawa sio kubwa inaridhisha sana..." nadhani nimepatia maneno.

Kama unapatikana Youtube mnielekeze kwani nimeshausaka sana bila mafanikio.
 
mwenye wimbo Wa Kali p nahc kama kashilikishwa....
unaimbwa.........
"sijapata kuona mrembo kama wee
mooyoni ulienivutavuta
natamani kuwa nawe
nakuomba unielewe beibi"
mwenye nao please nisaidie
Yan hata mm nautafuta sana uwo wimbo msanii aitwa robii f.t kali p
 
Njoo kwa Yesu Njoo uwe kiumbe kipya, kijito nyama kwaya nitaupata wapi tafadhali
 
kuna kwaito ya kisauzi ya kadada kaimba wena wena wetu, sasa siitaji hio wena wena wetu, kuna nyingine kaimba mdundo kama wa wena wena wetu
 
Asante sana mtupole we ni mtu wa nguvu sana, asante na barikiwa sana.
 
Kuna wimbo Fulani HV ni wakitambo, inaonesha umetoka mwanzoni miaka ya 2000...
So nafahamu tu kiitikio jinsi kinavyoimbwa "Nitaka tuwe wote, milele we ni binti wa kiafrika"
Thus naomba mnidirect hata jina la huo wimbo au jina na Msanii husika ili niweze kuitafuta...
Nawasilisha..!!
 
Kuna wimbo Fulani HV ni wakitambo, inaonesha umetoka mwanzoni miaka ya 2000...
So nafahamu tu kiitikio jinsi kinavyoimbwa "Nitaka tuwe wote, milele we ni binti wa kiafrika"
Thus naomba mnidirect hata jina la huo wimbo au jina na Msanii husika ili niweze kuitafuta...
Nawasilisha..!!
Kuna dem umemzimikia nn unataka umtumie ujumbe kupitia wimbo[emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom