sule Genius
Member
- Sep 6, 2014
- 65
- 18
Nisaidie wimbo wa Jafarai "Samahani",kaimba na Daz BabaHuu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
Umenchekesha sana sanaWimbo wa "sasa kumekucha jogoo limekwisha wika dodoma"
Yan hata mm nautafuta sana uwo wimbo msanii aitwa robii f.t kali pmwenye wimbo Wa Kali p nahc kama kashilikishwa....
unaimbwa.........
"sijapata kuona mrembo kama wee
mooyoni ulienivutavuta
natamani kuwa nawe
nakuomba unielewe beibi"
mwenye nao please nisaidie
Njoo kwa Yesu Njoo uwe kiumbe kipya, kijito nyama kwaya nitaupata wapi tafadhali
natafuta wimbo wa baraka mwishehe...morogoro
Kuna dem umemzimikia nn unataka umtumie ujumbe kupitia wimbo[emoji1] [emoji1]Kuna wimbo Fulani HV ni wakitambo, inaonesha umetoka mwanzoni miaka ya 2000...
So nafahamu tu kiitikio jinsi kinavyoimbwa "Nitaka tuwe wote, milele we ni binti wa kiafrika"
Thus naomba mnidirect hata jina la huo wimbo au jina na Msanii husika ili niweze kuitafuta...
Nawasilisha..!!