m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 614
- 391
Bac naimba untumie wasap kwa namba hii 0635-789 736Wimbo ninao ila siwez kuutuma humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bac naimba untumie wasap kwa namba hii 0635-789 736Wimbo ninao ila siwez kuutuma humu.
Ase huwezi amini miaka yooote najua ni kijitonyama choir ndio maaana nilikua siupatiWameimba Maranatha kwaya na upo yutyub unaitwa njoo kwa Yesu
hii namba mbona siioni whatsapp?Bac naimba untumie wasap kwa namba hii 0635-789 736
Hii ngoma imepigwa na Richard inaitwa long tall sally.Wakuu naomba mwenye kufahamu jina la nyimbo hii na alieimba anisaidie naitafuta sana niliwahi pia kuisikia ikipigwa kwenye movie ya Predator ya Arnold Schwarzenegger naisaka bila mafanikio msaada pls
mkuu nipe namba yako inbox nikutumie watsap sasa hv nalitaka hilo bandoMimi atakaenitumia wimbo wa Salima wa papii kocha
Mrembo wa said comorien
Namtumia bando hima sana.
I'm waiting!
Na mm pia natafuta wimbo wa vijana jazz unaitwa massakiJamani naomba kama kuna mtu ana wimbo wa VijanaJazz nahisi unaitwa HESIMA YA NDOA, baadhi ya mashairi "enyi wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio hesima ya ndoa eee" Bi mkubwa analamika jamaa analala kwa bi mdogo tu, kuna sehemu jamaa anajitetea wakati anaenda kulala kwa bi mkubwa akamgonga bata njiani
Una kiitikio kinasema...sio kwamba mi sitaki dem, ila sikumwona mwenye sifaa. Nadhani Unaitwa Sina Demu au Sitaki demu. Ni wa long time kabla ya Staki dem ya Juma Nature.Wimbo wa zamani kidogo lakini sikumbuki kaimba nani nakumbuka mistari ya mwanzo tu
Mara ya kwanza kukuona ilikua coco beach,
Nikawauliza washikaji wakasema wewe ni bitch,
Wimbo : sina demuUna kiitikio kinasema...sio kwamba mi sitaki dem, ila sikumwona mwenye sifaa. Nadhani Unaitwa Sina Demu au Sitaki demu. Ni wa long time kabla ya Staki dem ya Juma Nature.
Yap ndo huo chief.Sijajua jina na nitaupataje...Una kiitikio kinasema...sio kwamba mi sitaki dem, ila sikumwona mwenye sifaa. Nadhani Unaitwa Sina Demu au Sitaki demu. Ni wa long time kabla ya Staki dem ya Juma Nature.
Cheki pm mkuuIngia mp3juice.cc tafuta utaupata ukiukosa ni pm namba yako
Samahan kiongoz.Nimeikosea,ni hii 0625-789 736hii namba mbona siioni whatsapp?