Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mwenye nyimbo za mchiriku jamani, hasa kundi la gari kubwa , Topaz, au Dar nyota, nyimbo kama 'yuko wapi mama' ' baba asha' ' saa' n.k
Ninazo ila natumia app sina PC hivyo siwezi kutuma, kama upo tayari nitumie namba yako ya WhatsApp ukiniambia na majina ya nyimbo ambazo unazitaka. Nitumie kupitia PM.

Usipoyapangia maisha nini cha kufanya yenyewe yatakupangia wewe nini cha kufanya.
 
Kuna wimbo jina la msanii simjui jamaa kaimba hivi
pesa na majumbaaa ni vitu vya kutafuta si utemi wala ndumbaa utakuja kuumbukaa ona mama yako umemzika hata baba yako umemzika oooooiiiii umebaki loneeely chanelten walikuwaga wanaupiga sana kwenye kipindi cha vmix Tumbo mwingine gari ya Mr mjomba ft child Benz rmx na og version.
 
Kuna wimbo jina la msanii simjui jamaa kaimba hivi
pesa na majumbaaa ni vitu vya kutafuta si utemi wala ndumbaa utakuja kuumbukaa ona mama yako umemzika hata baba yako umemzika oooooiiiii umebaki loneeely chanelten walikuwaga wanaupiga sana kwenye kipindi cha vmix Tumbo mwingine gari ya Mr mjomba ft child Benz rmx na og version.
anaitwa Zakayo ft alikiba
 
Huo wimbo hata mimi nautafuta sana, naomba mdau utuwekee tule raha!
KUNA MDAU ALIOMBA WIMBO WA EXTRA BONGO DOUBLE DOUBLE ASHAUPATA AU BADO KAMA BADO ANITAFUTE

Usipoyapangia maisha nini cha kufanya yenyewe yatakupangia wewe nini cha kufanya.
 
Back
Top Bottom