Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Nahitaji jina la hii Tafadhali...
 

Attachments

  • b25c75c1b00307d76c7e8bc4a1a23ac8.mp4
    3.1 MB
Nyingine hizo
 

Attachments

Unaimbwa hivi' tuliishi kama ndugu we kushoto mi kulia mtaani walitushudia, utakapoonewa lazima nitaingilia ndivyo ilivyokuwa na Kwa upande wako pia, ukanipa moyo na maneno mazuri kuwa mziki sio bagamoyo ila tu nikaze msuli nisiache kusali ipo sku ntaendesha Magali.
 
Nyingine hizi
 

Attachments

Mimi natafuta wimbo niliousikia nipo msogo sana.
Sijui unaitwaje na sijui kaimba nani.
Nanukuu.

Aiya iya iya ii! Aiyaooo, aiyaoooo.

Nilijisikia wimbo huu miaka 19 iliopita. Msaada jamani japo link au jina la msanii na wimbo husika.
Obsession Jangu
 
Kuna wimbo nimeutafuta sana...ni wazamani kidogo ni Bongo flava.. unaitwa BALAA/ WATU BALAA
Kiitikio[emoji117]Watu balaa[emoji445] x2 ( kerooo)
Kuna mstari wanaimba[emoji116]
Kuanzia leo watu balaa,[emoji445]
Kukiwa balaa keroooo
MSAADA JAMANI NIIUPATE HUU WIMBO
 
Natafuta wimbo wameimba kwaya kuu Moravian Ruanda, unaitwa maisha ni sawa na maua

Ulikuwepo mtandaoni sijui wameutoa, msaada tafadhali
 
Mi nautafuta wimbo unaimba

Tumetoka kwetu mahengeee
Tumekuja daresalaam
Kucheza sindimba


Nakumbuka Luiza Mbutu alikuwemo kwenye huu wimbo
 
Kuna wimbo nimeutafuta sana...ni wazamani kidogo ni Bongo flava.. unaitwa BALAA/ WATU BALAA
Kiitikio[emoji117]Watu balaa[emoji445] x2 ( kerooo)
Kuna mstari wanaimba[emoji116]
Kuanzia leo watu balaa,[emoji445]
Kukiwa balaa keroooo
MSAADA JAMANI NIIUPATE HUU WIMBO
Mkuu wimbo unaitwa Balaa umeimbwa na Black skull,ukienda opera unupata bila tatzo
 
Wakuu mimi kuna nyimbo mbili nazitafuta ila majina ya nyimbo na walioimba siwafaham ni kitambo. Viitikio: Tunakandia sana sometimes tunacheza madeal hatari sana "Majobless jobless. Tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upanaa majobless.
Wimbo unaitwa Majobless umeimbwa na BDP(Big dog posse)
 
Kuna nyimbo nimewahi kuwa nayo kwenye Kanda yangu iliyoimbwa na Mh Temba nachokumbuka jina ni kama kifo ila kila nikitafuta huko google sipati nyimbo hii.
Mfano wa mistari yake ni pale alipolalamika rafiki yake amechikuliwa na kifo na jana tu alikuwa ameongea nae.
Kifo ww ni nani mbona una.......
Sio ya Voice wonder na Solo thang?
 
Ule wimbo jamaa kampa mimba mtoto wa rais akaanza kutafutwa na polisi. Alikua msanii gani hivi
 
Mimi natafuta wimbo ufuatao nitapata wapi CD yake?
Unaitwa, Yule mtu Msamalia.
Baadhi ya maneo take kwenye kiitikio
" watuwale, kumi, walitakasika.
Mmojawao aliendaa kujionyesha kwa makuhani, lakini wake jenda hawakurudi.
Wimbo ni wa Kwanya la kanisa LA uinjilisti Mbalizi Mbeya. Uliimbwa kama miaka ya 1980 mwishoni hivi.
Msaada wadau.
 
Wakuu,
Miaka kadhaa huko nyuma katika tangazo la kipindi cha Nirvana EATV kulikuwa na beat fulani hivi kutoka katika wimbo ambao jina lake siukumbuki.

Naomba kwa aliye familiar na huo wimbo anipe jina lake.

NB: Huwa nahusisha wimbo huo na somebody Juliana...

Shukrani.
 
Back
Top Bottom