uyu huwa anakurupukaga tu anajua humu watu awana data.Una uhakika ebu rudi tena chimbo mzee
Vipers si unawajua lakini au umewasahau.😅Kuna mtu yupo champions....ila kapita Kwa kuwafunga wabovu ....[emoji23][emoji23]
Unaishia kuabikaa, mwenzio aliongozaa klabu bingwa, sio losers kulee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu....taifa lipo mikono salama
Bora sisi kwa mamelod, nyie Al hilal aliwafurushaa km paka mwizi jikoni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumfunga vipers......sisi MAKOLO tunaona tupo vizuri.....
Hikika mkikutana na mamelod mtakimbia uwanjani
Token.. Kama ambavyo Manara alivyowahi kusema kwamba Yanga ni hamnazo isipokuwa watu Wawili tu..!!Mangungu alisema sisi mashabiki wa makolo ni MBU MBU MBU[emoji1]
Pale mlipiga bomu mochwaliVipers si unawajua lakini au umewasahau.[emoji28]
View attachment 2574577
Champions akuna mbovu wabovu wote walitupwa kwa maluza kule[emoji28][emoji23]
Mkuu ...Al hilal ya ibenge ni hatare....mngekula hata 5Bora sisi kwa mamelod, nyie Al hilal aliwafurushaa km paka mwizi jikoni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna hamu na CL uwiiiih
Thubutuuuuuuu.Mkuu ...Al hilal ya ibenge ni hatare....mngekula hata 5
Dah wamekuumbua na mavi makalioni.Huna cha kujibu.Ndio tabu ya unyumbu kutochuja habari unazosikia.Zeruzeru kaandika jamaa kakurupuka kadhani ni kweli.Au pia ndio madhara ya kuanza ushabiki mwaka huu. Mashabiki wa mkumbo.Tunajua kuwa ni Mbu mbu mbu