Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

I

 
Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]

Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani


RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]

Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ



Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa

NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Mtani Shadeeya haya yana ukweli???
 
Hivi ikitokea Monastir akapata ushindi wa goli 3-1, kati yake na Yanga nani ataongoza kundi?
 
Kuna jinga linajifanya shabiki wa Yanga na limekumbatiwa na viongozi kazi yake kuichafua tu timu kwa hoja zake za kipuuzi.......hilo shabiki la mikia lirudi tu kwao
 
Back
Top Bottom