Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

Ni Yanga tu: Haijawahi tokea timu kufikisha point 13

Shikiriko kuna mwaka kunakuwaga kwa moto kama champions league tu. Mwaka huu shirikisho imejaa timu dhaifu sana. Mwaka jana huko kulikuwa na vigogo kama Simba, Pirates, Berkane, Pyramids.

Msilisahau hilo.
Jamaa huwa mnalazimisha furaha sana aisee unaleta habari za mwaka jana tena.. hizo timu ulizotaja hapo ni simba tu ipo CL na pyramid mnayo huko kwenye washirikishwa pirate na berkane sijui wako wapi?. Kwani yanga si walikuwa ligi ya mabigwa ilikuwaje mkaenda ligi shirikishwa
 
Jamaa huwa mnalazimisha furaha sana aisee unaleta habari za mwaka jana tena.. hizo timu ulizotaja hapo ni simba tu ipo CL na pyramid mnayo huko kwenye washirikishwa pirate na berkane sijui wako wapi?. Kwani yanga si walikuwa ligi ya mabigwa ilikuwaje mkaenda ligi shirikishwa
Mbona kama umechanganya mafail
 
RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023,
Yaani kuifunga TP Mazembe nayo ni rekodi? Basi usisahau pia katika ligi ya Congo, kuna timu kibao zimeweka 'rekodi' hiyo

1680511519678.png
 
Dah wamekuumbua na mavi makalioni.Huna cha kujibu.Ndio tabu ya unyumbu kutochuja habari unazosikia.Zeruzeru kaandika jamaa kakurupuka kadhani ni kweli.Au pia ndio madhara ya kuanza ushabiki mwaka huu. Mashabiki wa mkumbo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa huwa mnalazimisha furaha sana aisee unaleta habari za mwaka jana tena.. hizo timu ulizotaja hapo ni simba tu ipo CL na pyramid mnayo huko kwenye washirikishwa pirate na berkane sijui wako wapi?. Kwani yanga si walikuwa ligi ya mabigwa ilikuwaje mkaenda ligi shirikishwa
Mkuu...Simba ni kigogo???
 
Record Ya Taifa [emoji122]
Record Ya Tanzania[emoji120]

Haijawahi Team yoyote, narudia Team yoyote kutoka Tanzania kumfunga MAZEMBE nje ndani


RECORD
Ni Timu tatu pekee Afrika zilizomfunga TP Mazembe ndani nje kwenye michuano ya CAF
2021, Mamelod Sundowns, Afrika Kusini
2023, US Monastri, Tunisia
2023, Yanga Africans, Tanzania. Na kufikisha Points KUMI NA TATU (13) ktk Group Stage ya Mashindano ya Vilabu Africa [emoji122][emoji122]

Heshma kwenu Wachezaji na Benchi la Ufundi kwa Rekodi hii kuwekwa,Thanks Viongozi,Wanachama na Washabiki wetu,mmeletea heshma mpya katika
football ya Tanzania
Hawa ndio Yanga sasa na Sisi ndio Wananchi". Umoja wa wachambuzi TZ



Baada ya makolo kuliaibisha taifa ....hatimaye .Yanga waliokoa taifa

NB: mkinuna .....naleta ushaidi View attachment 2574237
Mna memory ndogo sana

Simba aliwahi kufika 14 points
 
Back
Top Bottom