financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Napenda zawadi yoyote tu, ila zaidi napenda zawadi maua😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahMbona hata wanawake tunakutana na walaghai wengi tu lkn kuna wakati unaweza kutana na mpenzi akakupenda kweli. Wewe hii bahati naona ilikupita kushoto. Na pia inawezekana wanaokupenda kweli wewe huwataki na unaowataka hawakutaki. Lazima utuone chenga.
Maua hayahaya au kuna maua special?Napenda zawadi yoyote tu, ila zaidi napenda zawadi maua[emoji39]
Ndiyo maua zawadi yanfungwa hivi aisee🥳Maua hayahaya au kuna maua special?
Duuh, uko vizuri.Ndiyo maua zawadi yanfungwa hivi aisee[emoji3060]
HelaDuuh, uko vizuri.
Ngoja nikuulize kitu.
Kuna mtu (rafiki wa kike), nataka kumtembelea kwao, alikuwa anaumwa. Hatujafahamiana muda mrefu.
Nishauri niende na nini/zawadi gani?
Nyoosha maelezo kidogo mkuu, ni rafiki tu ama rafiki mpenzi babe?Duuh, uko vizuri.
Ngoja nikuulize kitu.
Kuna mtu (rafiki wa kike), nataka kumtembelea kwao, alikuwa anaumwa. Hatujafahamiana muda mrefu.
Nishauri niende na nini/zawadi gani?
Nzuri sana😅😋😋😂😂
Itabidi uchague.Hapo sijui unaanza na ipi?
Kwa nn mliachana?Kiukwel kabisa kuna raha ya kupewa zawad na mtu unae mpenda .. Mm ninakawaida yakuwapa watu vitu uwa sichukulii maanan Sana yan mm ni chiz wa vitu vizur asa vya kike yan nikiwaga kwenye Mahusiano uyo mwanamke uwa anafaid vzawad zawad …nikipta nikiona n kizur nitakuchukulia yan mm ad Kwa Mother uwa namchukulia izi Chen bracelet saa alizo nazo n mm Ndio nampelekea … sasa nina ex wangu Mmoja ambae tumishindwa kuachana [emoji23] Yule dada nazan ndie mtu aliewah kunipa zawad nying kuliko mtu yoyote yan kuna vitu alininunulia nikiviangalia tu uwa namkumbuka yeye kuna picha yangu yakuchora kuuubwaaa alinipa kuna picha ndogo ya maneno ya mungu (Alinifundisha vingi Sana kuhusu imani) kuhusu nguo n nyingi Sana … Mimi pia nilimpaga zawad nyingi ila cha ajabu kuna Saa na bracelet yake anasemaga kila akiivaa ananikumbuka mm kuna kipind alienda kusalimia Kwao wakamuibia bracelet yake akanipigia sim anaongea kinyonge kuwa wamemuibia bracelet yake nikamwambia si una bracelet nyingi why unalalamika ivyo akaniambia alikuwa anaipenda Sana (Cha ajabu akaniakumbusha ad siku niliyompa kitu ambacho mimi nilikuwa ata sikumbuk yan) Nikamwambia nitakununulia nyingine ya ivyo ivyo nikutumie
Send that pic kwa Mr right,ASAP😅Nikishazima mishumaa naonja kwanza ya kwenye box kidogo, then nakuja kula keki nakunywa wine halafu naendelea nayo 😋😋😋
Sawa,usisahau kushare nasi furaha ya hiyo zawadi.Sawasawa 👊👊, wacha niidownload🤗
Mbunye tu baasiHabari za weekend wanajamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada. wakaka na wababa wa JamiiForums, naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.
Natanguliza shukrani 🙏🏼
Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania