Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Tunapita Gaborone, Nata,Mahalapye,Pahalapye mpaka Kazungura huwezi kupita Zimbabwe kama unakuja unaendesha kutoka SA wanataka rushwa sana na wana Road block nyingi..gari nzuri nunua Auction Nation kwa gari ndogo..Vipi kuhusu usafirishaji wa gari toka Sauz Hali ipoje barabarani? Zimbabwe walivyo na Njaa si itakua jau Sana hiyo route?