Ina maana SA watu hawaendeshi magari Tena Brand new? Sembuse wewe unaenda kununua gari second hand. Tuache visingizio,sema Huna helaVP usalama wako na gari jipya pindi ukiwa SA maana tunasikia huko ujambazi hasa highway ni 24/7, huwezi kwenda kupoteza maisha na gari likaporwa, mzee wa isanga?