Niagize gari Afrika Kusini Vs Japan?

Niagize gari Afrika Kusini Vs Japan?

nataka mistubish outlander phev ya mwaka 2015 inawza range kias gan kila ktumpka inafka mkonon?
 
Ok
Wewe jamaa kukosea kwako unadhani wote tunakosea aisee magari tunanunua yanakuwa na mileage ndogo sana unanununa gari ina hizo Mileage kabisaa hizo ntanunua labda kwenye Scania sio gari ndogo...
Okay
 
Africa kusini zipo kwani hizo? [emoji848]

Anyways mimi nakushauri gari chukua south Africa maana kwanza ni karibu so itakuja haraka sana ndani ya wiki moja na siku kadhaa.

Gari za South Africa zimetengenezwa kulingana na mazingira ya afrika so zina ubora wake kidogo.

Gari za South Africa nyingi milage inakuwa chini na nyingi wanauza ni almost mpya.

Ikikupendeza gari yako unaweza kwenda kuifuata mwenyewe ukakague kabisa kabla haujailipia.

Me nakushauri chukua south Africa maana kidogo kuna kaunafuu.
Gari za SA mileage chini kuliko Japan? Hebu kuwa serious; wacha kumwingiza chaka mwenzio?
 
Dah kuna mwamba yupo mstari wa mbele kuzipigia promo gari za S.A, akiulizwa bei ya gari kiswahili kinakua kingi!

Mtu amewekewa hadi picha ya gari na kuulizwa "gari kama hii hapa bongo dalali anauza M17, huko S.A inauzwa bei gani?" Bado mwamba kachomokea vichochoroni! 😅

Hii inaonesha pengine kuagiza gari S.A bei ni kubwa kuliko japan au kuna kitu nyuma ya pazia tunafichwa.

Hii inaturudisha nyuma sisi tunaotaka kujaribu kuonja ladha ya hizo gari za SOUTH.
 
Dah kuna mwamba yupo mstari wa mbele kuzipigia promo gari za S.A, akiulizwa bei ya gari kiswahili kinakua kingi!

Hii inaonesha pengine kuagiza gari S.A bei ni kubwa kuliko japan au kuna kitu kinafichwa.
Kaka acha,nimeuliza bei kwenye huu uzi mpaka nimechoka, kila ukiuliza hivi anachenga huku, ukimfuata huku anachenga kule... uzi mzima hauna bei ya gari hata moja na ni page ya tano.
 
Kaka acha,nimeuliza bei kwenye huu uzi mpaka nimechoka, kila ukiuliza hivi anachenga huku, ukimfuata huku anachenga kule... uzi mzima hauna bei ya gari hata moja na ni page ya tano.
Mkuu unataka gari gani toka mmeanza kuuliza bei nimeenda SA karibu trip ya tatu ninyi mpo busy na bei na magari ya 2006 mimi sinunui hayo mkuu maana ni kuleta matatizo mtu anakuuliza BMW ya 2006 aisee hizo gari za zamani mimi sipo nazo kabisa ushauri naotoa ni mtu aseme nina budget kiasi hiki ntapata gari gani kwa SUV au Pick Up..na wanunuzi wa ukweli wapo humu hawaulizi sana na nimewaletea gari wengi tuu
 
Nissan NP300
Nissan ya 2015 mpaka 2017 kununua Tsh 25m mpaka 30m SA na angalia kikokotoo cha TRA hapo jumlisha usafiri mpaka Tunduma kama 2m mafuta pamoja na vibali hiyo ni double cabin yenye engine ya YD 22 na 25..chini ya huo mwaka ununuzi utapungua bei yake ila kodi itaongezeka kwa sababu ya Uchakavu kwa hiyo ni bora ununue gari ya karibuni ill ulipie kodi kidogo...
 
Mkuu unataka gari gani toka mmeanza kuuliza bei nimeenda SA karibu trip ya tatu ninyi mpo busy na bei na magari ya 2006 mimi sinunui hayo mkuu maana ni kuleta matatizo mtu anakuuliza BMW ya 2006 aisee hizo gari za zamani mimi sipo nazo kabisa ushauri naotoa ni mtu aseme nina budget kiasi hiki ntapata gari gani kwa SUV au Pick Up..na wanunuzi wa ukweli wapo humu hawaulizi sana na nimewaletea gari wengi tuu
Wabongo wengi wasanii. Wanachosha na maswali bila action
 
Gari za SA mileage chini kuliko Japan? Hebu kuwa serious; wacha kumwingiza chaka mwenzio?
Unanibishia kwasababu unajua au unanibishia kwasababu haujui sasa unatumia gear ya ubishani ili nitiririke taarifa kukufaidisha? [emoji848]

Nenda website zao katazame tusibishane.
 
Dah kuna mwamba yupo mstari wa mbele kuzipigia promo gari za S.A, akiulizwa bei ya gari kiswahili kinakua kingi!

Mtu amewekewa hadi picha ya gari na kuulizwa "gari kama hii hapa bongo dalali anauza M17, huko S.A inauzwa bei gani?" Bado mwamba kachomokea vichochoroni! [emoji28]

Hii inaonesha pengine kuagiza gari S.A bei ni kubwa kuliko japan au kuna kitu nyuma ya pazia tunafichwa.

Hii inaturudisha nyuma sisi tunaotaka kujaribu kuonja ladha ya hizo gari za SOUTH.
Za South Africa zinakuwa na milage ndogo na uchakavu wake ni wa chini sana. Gari zinakuwa katika hali nzuri sana kimatumizi.
 
Unanibishia kwasababu unajua au unanibishia kwasababu haujui sasa unatumia gear ya ubishani ili nitiririke taarifa kukufaidisha? [emoji848]

Nenda website zao katazame tusibishane.
Mbona unapiga sana kelele? Ongea taratibu kisomi. Kelele hadi kwenye maandishi?
 
Nissan ya 2015 mpaka 2017 kununua Tsh 25m mpaka 30m SA na angalia kikokotoo cha TRA hapo jumlisha usafiri mpaka Tunduma kama 2m mafuta pamoja na vibali hiyo ni double cabin yenye engine ya YD 22 na 25..chini ya huo mwaka ununuzi utapungua bei yake ila kodi itaongezeka kwa sababu ya Uchakavu kwa hiyo ni bora ununue gari ya karibuni ill ulipie kodi kidogo...
Mkuu najichanga lengo ifike million 20 nikuagize gari ya kutembelea kutoka huko bondeni
 
Back
Top Bottom