Hiyo ya bei hiyo kwa south Africa unapata zero milage kabisa au ambayo haijatembea hata km10,000 mzee. Tofauti yake ni ubora wa gari.
Gari ya mjapani ukikuta ina milage ya 20,000km tu balaa lake ni bei utajuta.
Kama mileage ni chini ya 20k na ni genuine basi naelewa