Yes CVT Kuna ka uhafadhali
Nishatoka na 5A safari kilometa 920.. speedometer haikuwa accurate dash ikisoma 70kph speed iko 103 kwa gps
Hapo huenda ulifunga tyre size kubwa isiyokuwa sahihi kwa mujibu wa mtengenezaji wa gari aliyeipendekeza.
Jamaa ana asili ya ubishi wa ajabu sana. Kuna siku alikuwa anabisha ukubwa wa engine hauhusiani na displacement nikajua hamna mtu hapo,halafu anaelimisha watu kuhusu magari, sometimes ni better kukaa kimya kutokuumiza kichwa.
Inabd ujenge moyo wa kupuuzia mkuu, humu utoto mwingi, werevu wachacheHumu kuna watu wabishi kama wanalipwa vile kwa ajili ya ubishi wao.
Land cruiser 300 series ina gia 10 auto,Mkubwa hii ishu ya RPM has a lot to do na idadi ya gears. Gari nyingi za Toyota automatics zina gear 4.
Ili ku cover speed yote ya kisahani lazma gia ziwe ndefu ndefu ila kikomo huwa ni 5,600-6,000 š! Sasa gear 4 uzigawe kwenye 6K rpm sio mchezo ndio maana gari nyingi including yangu nikishazidi 120 tu rpm inakimbilia 3! Hamna jinsi utafanya, gari ina gear 4 na kumaliza speed lazma rpm zifike ukomo.
Ila Mark X yenye gia 6 unaweza laza mshale ikiwa hata haijafika 3500rpm. Engine kubwa haitumii nguvu sana ku acquire speed.
Same as BMW wao gari zao wanajaza gia nyingi so ni rahisi gari kufika speed kubwa ikiwa kwenye rpm ndogo. Unakuta gari ina gear 8 ila ukifika gear ya 4 tu tayari uko 150 rpm bado iko chini.
Hio ni latest, gari nyingi za 2OO6 kurudi nyuma hazina gear zaidi ya 4Land cruiser 300 series ina gia 10 auto,
Yap !!! Four speed patternHio ni latest, gari nyingi za 2OO6 kurudi nyuma hazina gear zaidi ya 4
Kweli mamy Kuna watu wabishi haswa weweHumu kuna watu wabishi kama wanalipwa vile kwa ajili ya ubishi wao.
Kwamba nikiwa na speed 70 na cruise nayo gari haiwezi maliza gia kwamba nitakuwa no 3 Hadi nifike 81š¤Yap !!! Four speed pattern
1 0 to 20 km/h
2 21 to 40km/h
3 41 to 80 km/h
4 81 km/h hadi mwisho
Sijajua pattern za latest auto , ila lqzima zitakuwa very efficient
Unakaa siku ngapi huko? Ndio nijue ni kiasi gani ya iyo bajeti...pia nikushauri mafuta ya vaseline ndio mazuri.Wakuu mambo vipi?
Mapema mwezi October nina ndugu yangu wa karibu anaona huko Singida maeneo ya Itigi.
Ninapaswa kuhudhuria hiyo harusi sasa nauliza kwa wazoefu kutoka Dar mpaka Singida hapo Itigi niandae bajeti ya mafuta kiasi gani?
Gari ni Toyota Mark II grande engine beams 2000, cc 1990 au 2ltrs wanasema wengine.
Nasubiri maoni yenu wadau.
Fursa hiyo. Asee harusi zinaleta totozAiseee nipitie Dodoma nikusindikize tukale mabusu ya wanyaturu siunajua kwenye harusi warembo wanajitokezaga sana ..Nipitie Dodoma nikusindike
Hahaa mkuu umeshawahi kuwa ticha wa driving school sio kwa mfano huo.Kumwambia aendeshe rev kati ya 2 hadi 4 rpm humsaidii sana .
Ni kweli kabisa hizo rev range huwa zinatoa good fuel economy , lakini ni jinsigani unafika kwenye hizo rev ndio somo kuu.
Inatakiwa kukanyaga acc pedal kwa upole sana , assume kuna yai bichi kati ya mguu na pedal , na hutaki yai lipasuke wakati unakanyaga
Kumwambia aendeshe rev kati ya 2 hadi 4 rpm humsaidii sana .
Ni kweli kabisa hizo rev range huwa zinatoa good fuel economy , lakini ni jinsigani unafika kwenye hizo rev ndio somo kuu.
Inatakiwa kukanyaga acc pedal kwa upole sana , assume kuna yai bichi kati ya mguu na pedal , na hutaki yai lipasuke wakati unakanyaga
Yap ,ipo hivo namba nne huwa haiingii hadi ufike 81 na itatoka kama speed itakuwa chini ya 80km/h , kwa gari za zamani lakini, hizi mpya sijui pattern yakeKwamba nikiwa na speed 70 na cruise nayo gari haiwezi maliza gia kwamba nitakuwa no 3 Hadi nifike 81š¤
Sawa bi mdashi wala sikukatalii maana umethibitishia hapa kwamba unajua matumizi ya google ila uliamua tuu kubishaKweli mamy Kuna watu wabishi haswa wewe
Zile zijawahi fatilia jirani alikuwa nayo ya cc 1800 nyuma imeandikwa 1.8
Nimeleta ubishi tu ili alete nione kwan me gugo sipajuiš¤
Watu tunagusa karibia 150kph huku RPM zimepoa kama zipo kwenye fridge.... ukiona nasogea kwenye 3 RPM jua naitafuta 170+kphIla Kuna Watu ni wabishi, nimeendesha Hadi 140km/hr kwa rpm ya 3.....sasa kama gari Ina speed 260km/hr anashangaa Nini hio rpm?
Upo sahihi mkuu.. mfano halisi huu hapaBrother nauwezo wa kyuingiza gia zote rpm isivuke 3 na nikaenda hata speed 180 rpm isivuke 3...
Automatica vehicle unaweza kuengage gia zote kama manual tu na ukaweza kucontrol rpm isivuke 3
Inawezekana jitu..... Kuna picha nimeattach hapo ipitie....180kph
Kwenye Toyota
Mshale usivuke 3
Okayyyyyy
Premio yenye 3s-Fe ipo na Toyota Carina GT ipo ya 3s-Fe ni manual transmission. Kuna Toyota Corona ED nayo 3s-FeAtakuwa kachanganya mafaili premio engine ni 5A-FE au 7A-FE
Corona Exiv nayo ni 3s-FEPremio yenye 3s-Fe ipo na Toyota Carina GT ipo ya 3s-Fe ni manual transmission. Kuna Toyota Corona ED nayo 3s-Fe
aiseeeeeInawezekana jitu..... Kuna picha nimeattach hapo ipitie....
Ni sahihiKuna Carina Ti za 2001 zina 3s fe engines.
NdioAha zile zenye line nyeusi ,, Corona old sana