Hongera sanaa mkuu kwa kufika hatua hiyo.. ila mwenzio yamenikuta mwaka jana 2024. Kwakifupi nikupe ABC
Kwanza kabisa.. utafiti wako kuhusu wachumba wako wa ef2 naona very weak, Yaani ujafanya utafiti wowote.. Bado unamuda wa kuwachunguza, ingia deeply mkuu.. tembelea maeneo wanakoishi fanya tafiti kuhusu familia zao na hata ukoo kwa ufupi.. ukifanya hayo njoo utupe feedback.
Pia mwanamke wakuoa unachagua wewe sio mtu akuchagulie , watu wengine wahusike kwenye kupendekeza tu, sio kukuchagulia..
NB: usikubali kumuoa mwanamke ambaye anatabia fulani ambayo huipendi, na ukitegemea atabadilika akiwa ndani ya ndoa,ilo sahau mkuu. Ukiwa na wasiwasi/hofu juu yake piga chini.
Na watu wakisema lolote juu ya mwanamke, usibishane nao,tafakari kwa kina, lisemwalo lipo , kama halipo litakuja.