Mkuu, hapa mapinduzi lazima tu yalikuwa na mikono ya walafi na wahuni wa Western Europe kama ilivyotokea kwa Ukraine mpaka Crimea ikaenda Russia.
..hapo ni kutafuta wachawi tu.
..hila za western powers haziwezi kufanikiwa kama kiongozi anayelengwa ameweka mambo yake sawa, na yuko karibu na wananchi.