Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa kilimo cha vitunguu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za utapeli

Kilimo siyo Mchezo wewe, bado mmoja anayejifanya Mchungaji
 
Polisi wamuachie huyo katumia akili maana wajinga ni wengi Nchi hii acha wakomeshwe.
Yani na Akili zako unamtumia hela Lidemu la dizaini iyo eti badae akupe nyingi zaidi jamani jamani WaTanzania nani kawaloga.
Kweli kabisa, tena matapeli kama hao nashauri wapewe mitaji na wapate vibali vya kufanya kazi bila kulipa kodi mana wanawachangamsha wapuuzi wapate japo akili ndogo.
 
Hapo hakuna kesi ,account official yake Nicole haina hayo matangazo ya upato ,so ni easy kuwakataa kwamba wametapeliwa na so called Nicole Feki.

Ila wabongo sijui wakoje hapo washapigwa na Nicole ,akija niffa akianzishwa watapigwa za uso ,akija wema au wolper akianzisha watapigwa tena yaani hawakomi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…