Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
DuhKuna jamaa yangu kazaa nae mtoto wa kiume mkubwa tu
Kabla hajajiharibu au baada ya kujiharibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKuna jamaa yangu kazaa nae mtoto wa kiume mkubwa tu
Upuuzi huo ,kajiharibuLakini tukubali kuwa ana tako aisee😂😂
Imeisha hiyo ,hawarudishiwi tena na ukizingatia Nicole ana INYE gwedegwede na bahasha za kutembezea wadau ndiyo ntolee.Halafu mnamshindaje kesi wakati pesa yenu ndio analipia wakili wake
Bila kuwa na mtambo wa punda kitumbua cha buku utakula kwa macho! kwa tackle hili, lazima amiliki gari la kusomba kimba.Upuuzi huo ,kajiharibu
Alikuwa mrembo
Kachafua mwili na matatoo Bado kaongeza makalio kasahau mapaja na miguu kawa kituko
Pamoja na yote hayo atazeeka hajai itwa mke wa mtu!Upuuzi huo ,kajiharibu
Alikuwa mrembo
Kachafua mwili na matatoo Bado kaongeza makalio kasahau mapaja na miguu kawa kituko
Ni atakuwa mpare mchanganyiko mama yake huenda atakuwa mchagaKumbe Nicole berry ni mpare
Na makalio yake nayo yalikuwa biashara nyingine😀Wakuu,
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Joyce Mbaga maarufu kwa jina la Nicole Joyberry kwa tuhuma za kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu na kufanya biashara ya kuanzisha ma-group na kukusanya pesa kinyume na sheria.
Soma pia: Nicole Berry, mwanadada anayepiga mamilioni kwenye kilimo cha vitunguu Iringa
Taarifa hiyo imetolewa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro na kusema matukio hayo yametokea katika maeneo tofauti tofauti ya Jiji la Dar es Salaam na wakati mwingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
"Matukio haya yametokea ndani na nje ya Dar es Salaam, kwa kuhamasisha baadhi ya watu akianzisha ma-group mbalimbali na kuweka majina hewa kwenye ma-grouup hayo kwamba wanachangia pesa na baada ya muda mfupi basi utapata kiwango kikubwa cha pesa, jambo ambalo baadaye anakuja kutopatikana kwenye simu na kupotea na pesa ambazo watu wamechangia," amesema Kamanda Muliro
Shortcut is the longest way you were not goingWatanzania sio wa kuwaonea huruma. Haya majanga huwa wanayataka.
Ponze scheme zote zinaishia kwenye haya ila bado kesho wengine wataenda kumchangia mwizi mwingine mamilioni.
Yale makalio chakula cha bwana jela
Nicole MontanaKama vitunguu hivi havilipi wewe unahitaji kupandikizwa Muhimbili.View attachment 3261323
Manundu kama vitunguu vyenyeweHuyo mwenye manundu nyuma ndo mlima vitunguu? Aisee nchi inapitia wakati mgumu hii
kwa kweli mkuuLakini tukubali kuwa ana tako aisee😂😂
Kuna kamjamaa kanasema eti vitunguu havilipi!Manundu kama vitunguu vyenyeweView attachment 3262102
YeahNaona wakulima mnateteana