Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Tatizo lenu vijana wa sasa kugeuzwa bakta ni fasta sana,yani wewe kuwa bwabwa ni fasta sana,kwa jinsi akili zako zilivyo ndogo,bongo pamekushinda unakimbilia kwa watu,nenda kawe kama bobrisky
 
Sasa unaongea Nini ebu tulia hujui chochote kuhusu Maisha we Mtoto Mdogo
Hili nalo bwabwa daah jamii sasa hivi mabwabwa yamejaa,naona mnataka kwenda kutafuta mabwana wapya,ok kazi kwenu maana kule wamejaa wengi kama nyie,tanzania hatutaki mabwabwa naona mnakimbilia South,eti nawe umekaa bondeni hadithi za masikani zinawachanganya vitoto vya sasa hiv
 
Sawa Mkuu
Tukana tu
 
Mshikaji wangu wa rika langu alienda dizonga mwaka 99 na amerudi ni teja na ana waya. Tumempa bajaji washkaji zake tuliokuwa pamoja. Kazaa na mzuru na mtoto wamemchukua wazuru.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ni maisha ya kipumbavu sana,hapo kabaki na sifa tu kwamba usimuone vile mshkaji alikuwa bondeni yule.
 
Tatizo lenu vijana wa sasa kugeuzwa bakta ni fasta sana,yani wewe kuwa bwabwa ni fasta sana,kwa jinsi akili zako zilivyo ndogo,bongo pamekushinda unakimbilia kwa watu,nenda kawe kama bobrisky
Tatizo lenu vijana wa sasa kugeuzwa bakta ni fasta sana,yani wewe kuwa bwabwa ni fasta sana,kwa jinsi akili zako zilivyo ndogo,bongo pamekushinda unakimbilia kwa watu,nenda kawe kama bobrisky
Khaaaaa!!!! Kugeuzwa hakuna uhusiano na nchi ni mtu mwenyewe maana hata bongo watu wa namna hiyoo wamejaa...anyways mpaka umefikia kufikiria hizo mambo nishajua wewe ni mtu wa aina gani!!
Ko sipotezi tena muda na mtu kama wewe...
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ni maisha ya kipumbavu sana,hapo kabaki na sifa tu kwamba usimuone vile mshkaji alikuwa bondeni yule.
Ko na wewe sifa unayoitaka ni kwamba japo una maisha magumu lakini hujawahi toka nje ya Tanzania au sio???
 
Khaaaaa!!!! Kugeuzwa hakuna uhusiano na nchi ni mtu mwenyewe maana hata bongo watu wa namna hiyoo wamejaa...anyways mpaka umefikia kufikiria hizo mambo nishajua wewe ni mtu wa aina gani!!
Ko sipotezi tena muda na mtu kama wewe...
Wewe unaenda South umejipangaje??una ndugu huko au jamaa??unachoenda kufanya ni kipi??endelea kukurupuka utakuja hapa kusema ningejua nisingeenda south
 
Mtu anaomba ushauri halafu anataka asikie ushauri mzuri tuu na kutiwa moyo. Sauzi sharti ujikane mwenyewe na nafsi yako.
Sasa hivi South hakuna deal ningemuona mjanja angesema.anaenda botswana
 
Wa south Africa ni wabaguzi huko,fanya maamuzi sahihi.
Xenophobia ipo huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…