Niende Capetown, Pretoria au Johannesburg?

Naenda mazoezini ntakuja kukupa mrejesho wa sehemu zote maisha ni kuhangaika na kuangalia fursa zako zipo wapi na ikiwezekana kukueleza sehemu sahihi ya kwenda au ukiwa huko ufanye nini au kabla ya kwenda ujiandae na nini?
Nakukubali sana mwamba kimtazamo nakufananisha na malema
 
Tatizo nililoliona watoa ushauri wengi wanafokea zaidi ya kinachohitajika mtu anaulizia fursa zilizopo sa wewe unaanza kumwita Aina za chakula, dah!
 

Sorry mkuu .hivi yale ma Range kama ya kajala yameindikwa GP hadi nalishika mkononi tz inaweza kuwa sh ngapi.naulizia Mpya au Used
 
Mimi pia huwa napenda kusafiri mkuu ila sehemu zenye risks kubwa za waziwazi sikanyagi aisee,hiyo inakuwa ni kulazimisha ili mradi tu uonekane uko nje ya nchi.
Sehemu gani yenye zero risk, yaani isiyo na risk hapa duniani unaeza safiri ama ambayo unapenda.

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe kwao tafadhali.
 
kijana wa hovyo anaeona aibu kuuza vitu mtaani kwake na kwenda nchi za wenzake akidhani kuna urahisi wa maisha[emoji38][emoji38][emoji38]
nyie ndo mnabanduliwaga mkifika nchi za wenzenu
 
kijana wa hovyo anaeona aibu kuuza vitu mtaani kwake na kwenda nchi za wenzake akidhani kuna urahisi wa maisha[emoji38][emoji38][emoji38]
nyie ndo mnabanduliwaga mkifika nchi za wenzenu
Asante kwa mtazamo wako,watu kama nyie najua mpo ndo maana nilishaelezea mapema kwenye uzi kuhusu hili la mtazamo.... kwahiyo usijali
 
Sehemu gani yenye zero risk, yaani isiyo na risk hapa duniani unaeza safiri ama ambayo unapenda.

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Risks za sehemu nyingine zitakudhuru kama ukizitafuta mwenyewe,lakini risks za South Africa zinakufuata hata kama huna hatia tofautisha hapo ndugu.
South Africa unatoka ndani kwako kwenda dukani tu wazee wa kazi wanavamia silaha za moto yeyote watakayemkuta mbele yao ni halali yao hawaangalii una hela au huna hela wanakuwashia za moto,unatembea na simu ya laki 3 mtaani wenyeji wanakusimamisha wanakupora na kukuchapa na mapanga bila kosa lolote sasa hayo ni maisha gani
 
Sawa jifanye mbishi nenda huko sauzi Waka kumwakwelekwele.

Hatukukatazi.
 
Hii ndicho nilichomwambia jamaa leta uzi

Ila halunielewa

Amekaza fuvu.
 
before haujaenda s.a eb kwanza zama you tube andika " KUTOKA UGHAIBUNI " sikiliza kwanza story za wana uko kiwanjani zikoje ukihisi unaziweza basi nakushauri nenda ila kama hauziwezi stay home jigga.
 
Kama ni hivyo kusingekuwa na wageni kabisa SA..... anyways wewe point yako haswa ni ipi???? Maana mimi ninachotaka kujua niende Pretoria/Capetown/Johannesburg??? Basii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…