Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nasubiri HABIBU B. ANGA aka the bold afungue riwaya
Tumchagulie heading 😀😀😀

"MREMBO KUTOKA TANZANIA :YALIYOMO YAMO "
Hebu wekeni heading wakuu
 
Mnajifunzia online? 😅😅 Kama kuna kitu ni ngumu kucopy kwa wengine, basi ni mahusiano. Kwenye hii game Kila mtu anababuliwa kivyake
Na kila mtu na mbabuko wake...wengine wanababuka mpk hawaeleweki kuna wengine mbabuko unawapendeza... 😊 🤣 🤣
 
Beshte acha umbea... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] siku hizi jukwaani sikuoni naona umeleft..umehamia huku
Heri ya Mwaka Mpya 2024 kwanza Beshte....

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jukwaani kule nipo kipenzi...
Nilikuwa tight tu na 'Dizemba'..Sasa nimerudi....
 
Heri ya Mwaka Mpya 2024 kwanza Beshte....

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jukwaani kule nipo kipenzi...
Nilikuwa tight tu na 'Dizemba'..Sasa nimerudi....
Karibu sana beshte vijana wa Generali Benchika wanaleta matumaini...
Heri ya mwaka mpya nawe piaaa..
Let 2024 be awesome
 
Kuna muda unaamua kumuacha tu sio kwamba umemchoka-HAPANA.

Ni katika harakati za kuipumzisha akili tu..🙆‍♂️
Long live Nifah...
Long live Habibu Anga
 
Mlepeana vikojoleo?
 
Uliona mbali sana maana kala mpaka elfu 60 ya Muha wa Kigoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…