Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakutana huko.Maana yake jimbo liko wazi, Haya ngoja tuwashe chopa zetu tuje kupiga kampeni huko uchaguzi mdogo!!
😂😂😂 nauokota wapiiiUna umbea umbea kidogo🤣🤣🤣🤣
Huyu bibi hata wale vijana wetu waliouawa na HAMAS kule Gaza anadai waliuliwa na IDF. Inaonekana anapenda kupindisha mambo.We nae umezidi ujuaji.
Ni vema na mtalakishwa naye akaleta uthibitisho hapa juu ya ukubali wake kwenye uamzi wenu ili yule jamaa wa 40yrs aliyejipambanua hapa kuwa sasa ameamua kuwa mwaka kesho ataoa basi awe huru kuwasilisha fomu za maombi ya nafasi ya kuishi moyoni mwako bila wasiwasi.View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
😂 samia ?Samia nyamaza.
Hee kumbe miaka yote hakukuoakuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
kikubwa asije kusema alichezewa mimi sitamwelewa kabisaEm ngoja tuone kwanza
Acha udomo zege jirani yanguKuna binti humu ndani namzimia sana aisee yaani dah nashindwa kuweka wazi hapa ila wakati wa MUNGU Ni wakati sahihi zaidi
Acha niishie hapa... [emoji117][emoji117][emoji3059]
Mungu atuvushe mwaka salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
ajabuHee kumbe miaka yote hakukuoa
Aisee!
Hana ushangazi wowote ule ni Dada wamakao tu afu mweupe flani ivi akivaa ushunguzi unaweza kuzan wale warabu machotaraKumbe ndio maana unapost sana jukwaani. Nimefahamu ni stress za kuachwa. Pole sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kawa kawaida,sipendi muoneweNakuona advocate ukiwa kazini [emoji2][emoji2]
Dah 😂ajabu
Dada anastahili pole kutoka kwetu hii si haki 🤨ajabu
Kwakweli 😃😃.. Hivi inakuwaga aje mpaka watu wanajua Kama mnadate, au Mimi ndo mshamba wa mapenzi??. Maana naona kinachoumizaga ni Ile aibu watu wanatuonaje na vitu Kama hivyo 🤔🤔kikubwa asije kusema alichezewa mimi sitamwelewa kabisa
mkuu unapiga utosi sasaHee kumbe miaka yote hakukuoa
BasiiiiiiiiSeems Juzi ni pendhi jipya after hili [emoji2960] uzuri anaandika mwenyewe.