Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Typing error mkuueti siaminj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typing error mkuueti siaminj
Aahhh huu ujasiri ni kwa wachache sana unapatikana😂🤣🤣🤣 tena bila hofu
Ndugu wa mume wamefika 😂😂😂Ni vema na mtalakishwa naye akaleta uthibitisho hapa juu ya ukubali wake kwenye uamzi wenu ili yule jamaa wa 40yrs aliyejipambanua hapa kuwa sasa ameamua kuwa mwaka kesho ataoa basi awe huru kuwasilisha fomu za maombi ya nafasi ya kuishi moyoni mwako bila wasiwasi.
Ahahahah.....mijusi huwa haina nyege mkuuIla we kigalula huwaga una nyege.
Yaliongewa humu zamani, ni siku nyingi sikumbuki exactly.Sasa kwa nini hukutujulisha mapema?
Mtu muokotane sehemu kuna jina fake tena mtu anaweza kutumia I’d zaidi ya kumi kwako na kwa wengine ni sawa kuokota Dodo Jangwani.Kabisa husda nyingi sana na kufanya hivo inabid ujihakikishie kuwa ni wako wa maisha
Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...Kwakweli [emoji2][emoji2].. Hivi inakuwaga aje mpaka watu wanajua Kama mnadate, au Mimi ndo mshamba wa mapenzi??. Maana naona kinachoumizaga ni Ile aibu watu wanatuonaje na vitu Kama hivyo [emoji848][emoji848]
Hawawezi mkuu😂Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...
KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...
Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
Fungua PM Jay basiUnajuaga utani?
Yani Wana ujasiri aisee wanafaa hata kwenda kwenye vita 😀Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...
KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...
Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
Yeah, watu wanadate wala sio utani. Binafsi napenda ya mtandaoni ila sio ya jf😀😀That’s it.
Ila kuna watu wanadate kweli jamani🥴
Halafu sasa wakija kuachana yule ex wake ukisubutu kuweka like kwenye comments zake utajua hujui😁😁😁Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...
KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...
Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
wengine wanafanya makusudi ili flani aumie akionaNa ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...
KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...
Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
Ya Jf ni balaa unakuta umeshushiwa uzi hapa na new id Kumbe ni babe wako huyo anakuponda 😂🚮Yeah, watu wanadate wala sio utani. Binafsi napenda ya mtandaoni ila sio ya jf😀😀
Si ili aonekane kama ameonekana😃😃, kwamba na yeye ni one out of millions of Jf ladies 😂😂😂😂🤣🤣Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...
KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...
Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
🤣🤣🤣🤣 hii comment umeandika kwa uchunguwengine wanafanya makusudi ili flani aumie akiona
Hehehehe 🤣🤣🤣Halafu sasa wakija kuachana yule ex wake ukisubutu kuweka like kwenye comments zake utajua hujui😁😁😁
Kapiga chini? Kwani yeye hawezi kupigwa chini?Abibu Hanga kachakata mbunye kimasikhara, kapiga chini!!!! Duhiii