Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Ni vema na mtalakishwa naye akaleta uthibitisho hapa juu ya ukubali wake kwenye uamzi wenu ili yule jamaa wa 40yrs aliyejipambanua hapa kuwa sasa ameamua kuwa mwaka kesho ataoa basi awe huru kuwasilisha fomu za maombi ya nafasi ya kuishi moyoni mwako bila wasiwasi.
Ndugu wa mume wamefika 😂😂😂
 
Kwakweli [emoji2][emoji2].. Hivi inakuwaga aje mpaka watu wanajua Kama mnadate, au Mimi ndo mshamba wa mapenzi??. Maana naona kinachoumizaga ni Ile aibu watu wanatuonaje na vitu Kama hivyo [emoji848][emoji848]
Na ukichunguza Mahusiano mengi ya humu...

KE ndiyo wanakuwaga na kimbelembele cha kuyaweka wazi...

Sijui wanajiaminigi nini...Wasidate kimya kimya...
 
Back
Top Bottom