fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Kwahiyo wakristo hapo hawahitajiki, hakifai hicho.0756 41 41 01 Zaidia Orphanage Center. Sinza Madukani. Ni kituo cha kiislamu
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wakristo hapo hawahitajiki, hakifai hicho.0756 41 41 01 Zaidia Orphanage Center. Sinza Madukani. Ni kituo cha kiislamu
Mkuu sijafahamu hasa shida ni nini katika huu uzi. Nimeleta uxi kuwakilisha kampuni, naomba utushauri namna njema ya kufanya charity kwa namna ambayo utaona kuwa hatujioneshi wala kujivuna mbele za watu.Ndugu zake wengi wakishua na anaishi masaki wanaomzunguka pia si haba
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Mkuu Bagamoyo ni kubwa sanaubarikiwe,
Nakumbuka nilielekezwa bagamoyo. Nikakutana na kituo cha yatima, yule mama anasema hawa sio yatima ninwatu wasio na watu, maana wengine walikimbiwa na wazazi wao hospitali baada ya kujifungua.
Nilinyenyekezwa sana na hizo kauli na hiyo ilikuwa sadaka yangu kwa kusherekea kutimiza miaka flani ya kumiliki jiko.
😄😄😄Mtoa thread ameomba kituo chha watoto yatima wenye uhitaji hajakwambia anaomba ushauri wa nani ampe msaada.
Tuwe waelewa some times
Karibu na anapokaa mkuu wa wilaya, sio mwenyeji huko.Mkuu Bagamoyo ni kubwa sana
Tatizo vituo vingi ni vya mchongo,hata mimi nina mpango wa kufungua kituo changu nipige hela.mimi ushauri wangu nenda pale wodi ya wazazi amana au mwananyamalla utaona wamama wanajifungua chini hawana hata hela ya panado wanaume zao walishakimbia siku nyingi ukiwapa hata sabuni ,dawa na nepi utakua umepeleka huduma panapostahili,au nenda temeke hospitali wodi mojawapo ukishirikiana na manesi utapata wagonjwa wasio na ndugu waliokosa hudumaMkuu sijafahamu hasa shida ni nini katika huu uzi. Nimeleta uxi kuwakilisha kampuni, naomba utushauri namna njema ya kufanya charity kwa namna ambayo utaona kuwa hatujioneshi wala kujivuna mbele za watu.
Asante in advance kwa ushauri wako
Huu ushauri mzuri, niliwahi kwenda temeke wale wanwatu wao choka mbaya wanawajua. Nilikutana na vitu vya ajabu hadi moyo ukasisimka. Zile sadaka naamini zilifika ikulu kwa Mungu sekunde hiyohiyo.Tatizo vituo vingi ni vya mchongo,hata mimi nina mpango wa kufungua kituo changu nipige hela.mimi ushauri wangu nenda pale wodi ya wazazi amana au mwananyamalla utaona wamama wanajifungua chini hawana hata hela ya panado wanaume zao walishakimbia siku nyingi ukiwapa hata sabuni ,dawa na nepi utakua umepeleka huduma panapostahili,au nenda temeke hospitali wodi mojawapo ukishirikiana na manesi utapata wagonjwa wasio na ndugu waliokosa huduma
Kwa mtu mmoja mmoja kubebana na familia yake (ndiyo wanavyofanya,mke mume na watoto) kwenda kusaidia yatima huwa siioni tija yake (sisemi mleta mada umekosea) kwa sababu ndani ya mashina ya familia/koo zetu tunao ndugu wengi kula ya kuunga unga,ada watoto zinasumbua magonjwa mavazi hawana etc.Anza na ndugu zako na wanaokuzunguka wenye mahitaji.
Charity begin at home.
Shukrani sana kwa ushauri wakoTatizo vituo vingi ni vya mchongo,hata mimi nina mpango wa kufungua kituo changu nipige hela.mimi ushauri wangu nenda pale wodi ya wazazi amana au mwananyamalla utaona wamama wanajifungua chini hawana hata hela ya panado wanaume zao walishakimbia siku nyingi ukiwapa hata sabuni ,dawa na nepi utakua umepeleka huduma panapostahili,au nenda temeke hospitali wodi mojawapo ukishirikiana na manesi utapata wagonjwa wasio na ndugu waliokosa huduma
haiwezekani...!Barikiwa sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona mbongo anatoa msaada jua yeye anapata Mara mbili yake za msaada anaotoa
Hauwezi elewa hizi Mambo ....
Nenda Machame ukawasaidie ndugu zako UROGWE, au uambiwe "unaringa kisa una vihela, na tutaona kama utafika mbali"!!Anza na ndugu zako na wanaokuzunguka wenye mahitaji.
Charity begin at home.
Ukiielewa Siri ya kwann wazungu wanasaidia Africa Sio kwamba wao Wanatupenda sana au wao hawana shida ya pesa.Kutoa msaada kwa mayatima ni sifa za kijinga au mimi ndo sijaelewa