KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Mawazo yangu kutokana na baadhi ya mawazo ya wana jukwaa.
Lengo la kusaidia vituo vya watoto yatima ni zuri kabisa ila shida ni kwamba watu wamegeuza vituo vya kulelea mayatima kama chanzo chao cha maokoto.
Na incase zikatokea fursa za watoto mayatima kufadhiliwa au kusomeshwa basi hupeleka watoto wao instead of walengwa.
Nini cha kushauri
Kuna watu wenye uhitaji ambao hawapo kabisa katika mzunguko wako wa maisha jaribu kuwaangaza hao kwa nia ya dhati kama vile wagonjwa waliotelekezwa mahospitalini na watoto wa mitaani wasio na familia.
Suala la kusaidia watu wa ndani ya familia usilifanye kama hujaombwa msaada zaidi ni utazua chuki na husda ndani ya familia ionekane ni kama umewadharau.
Key point ni HUSDA HUSDA HUSDA......
Lengo la kusaidia vituo vya watoto yatima ni zuri kabisa ila shida ni kwamba watu wamegeuza vituo vya kulelea mayatima kama chanzo chao cha maokoto.
Na incase zikatokea fursa za watoto mayatima kufadhiliwa au kusomeshwa basi hupeleka watoto wao instead of walengwa.
Nini cha kushauri
Kuna watu wenye uhitaji ambao hawapo kabisa katika mzunguko wako wa maisha jaribu kuwaangaza hao kwa nia ya dhati kama vile wagonjwa waliotelekezwa mahospitalini na watoto wa mitaani wasio na familia.
Suala la kusaidia watu wa ndani ya familia usilifanye kama hujaombwa msaada zaidi ni utazua chuki na husda ndani ya familia ionekane ni kama umewadharau.
Key point ni HUSDA HUSDA HUSDA......