Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Mkuu peleka Msaada wako Kituo Cha Seiiali Kurasini ,huki Intergrity ni 100% v.Vituo vingine ni vile wmaolea Watoto Wachanga....0_6month ..wale watu wanahitaji materials na moral support Si Mchezo!Hivi ni kama vile Msimbazi na Mburahati.
Naomba mawasiliano ya hivyo vinavyolea watoto wachanga tafadhali
 
Hili tangazo halijanikalia sawa kabisa.

Wanakwenda kulizwa watu. Nahisi huu ni utapeli.

Dkt. Gwajima D
Mkuu kitu ninachojiuliza hadi sasa hasa kwenu mnaodai kuwa nimeuliza hili kwa nia mbaya ni nini hasa? Nimesema wazi tangu mwanzo na wajumbe wengi wamechangia. Naomba uwe mmoja wa tutakaofuatana kufika katika moja ya kituo ambacho tutaamua kwenda pale tutakapokua tayari. Namba yangu ya simu ni 0755963775 Au kama utapenda badi tuonane kwenye kikao ambapo tutaamua kituo ambacho twende na wewe uwe member
 
Mkuu kitu ninachojiuliza hadi sasa hasa kwenu mnaodai kuwa nimeuliza hili kwa nia mbaya ni nini hasa? Nimesema wazi tangu mwanzo na wajumbe wengi wamechangia. Naomba uwe mmoja wa tutakaofuatana kufika katika moja ya kituo ambacho tutaamua kwenda pale tutakapokua tayari. Namba yangu ya simu ni 0755963775 Au kama utapenda badi tuonane kwenye kikao ambapo tutaamua kituo ambacho twende na wewe uwe member
Mkuu simama imara kwenye hoja yako tu basi!

Ukikazana kupambana na kila vihoja vinavyotolewa humu, mwisho watakutoa kwenye reli.
 
Sasa mkuu nilichofanya hapa na wewe unachoshauri kuna tofauti gani?
 
Mkuu kitu ninachojiuliza hadi sasa hasa kwenu mnaodai kuwa nimeuliza hili kwa nia mbaya ni nini hasa? Nimesema wazi tangu mwanzo na wajumbe wengi wamechangia. Naomba uwe mmoja wa tutakaofuatana kufika katika moja ya kituo ambacho tutaamua kwenda pale tutakapokua tayari. Namba yangu ya simu ni 0755963775 Au kama utapenda badi tuonane kwenye kikao ambapo tutaamua kituo ambacho twende na wewe uwe member
Hiki ni kipigo cha muda mrefu, siyo cha papo kwa papo. Sitaki ushahidi wa ushetani wenu.

Waziri anaeshughulika na yatima Dkt. Gwajima D yupo humu, wasiliana nae.

Unajibizana na mtu nisiyeamini wala uukubali kabisa uwepo wa vituo vya yatima na nnavipinga uwepo wake.

Tanzania hii, huna familia kwenu ambazo zina yatima?
 
Mjomba hilo lina ukweli kweli au ni uzushi? Anawatesa anawatesaje? Wewe ulishawahi kushuhudia hayo mateso anayowapatia? Tunataka tuzisogeze camera zetu za Siri huko zikamnase emu tupe maelezo yaliyojitosheleza anawafanyaje hao watoto huyo sister wa Mchongo usimuite sister wa kikatoriki maana ma-sister wa kikatoriki wana nyumba zao sio nyumba za watoto yatima
Nakuletea taarifa mkuu. Wala sio uzushi. Nakuletea PM
 
Kwani hicho kituo kina ukuta mrefu kama wa Magereza?

Labda kama ni watoto wadogo sana, lakini kama wameshajitambua, hawawezi kukaa kwenye kituo chenye mateso. Huwa wanatoroka.

Hata hivyo, mateso si jambo jema. Ni vyema kuwaripoti kwenye mamlaka husika watumishi wenye kasumba ya aina hiyo.
Kuna mdau kaguswa naona ana utayari wa kuvalia njugu.
Huyo sister alisharipotiwa bila mafanikio.
 
Ambae amekulia home kwao anaona wazazi hajui furaha wanayopata Hawa watoto wanapotembelewa na watu na kupewa zawadi.vaa viatu vya mtoto yatima utampongeza mleta uzi
 
Ubarikiwe,
Nakumbuka nilielekezwa Bagamoyo. Nikakutana na kituo cha yatima, yule mama anasema hawa sio yatima ni watu wasio na watu, maana wengine walikimbiwa na wazazi wao hospitali baada ya kujifungua.

Nilinyenyekezwa sana na hizo kauli na hiyo ilikuwa sadaka yangu kwa kusherekea kutimiza miaka flani ya kumiliki jiko.
Safi kabisa mkuu.
 
Mkuu kitu ninachojiuliza hadi sasa hasa kwenu mnaodai kuwa nimeuliza hili kwa nia mbaya ni nini hasa? Nimesema wazi tangu mwanzo na wajumbe wengi wamechangia. Naomba uwe mmoja wa tutakaofuatana kufika katika moja ya kituo ambacho tutaamua kwenda pale tutakapokua tayari. Namba yangu ya simu ni 0755963775 Au kama utapenda badi tuonane kwenye kikao ambapo tutaamua kituo ambacho twende na wewe uwe member
Wajinga kama hao achana nao ndugu msamaria mwema.

Mimi nipo tayari kukusindikiza
 
Unajuaje kama hajafanya hayo kwa nduguze?

Na hata kama hajafanya, huwezi jua kilichomsukuma kutaka kufanya hayo anayotaka kuyafanya kwa hao watoto yatima!

Ujue, hata watoto yatima na wa "mitaani" nao ni watoto.

Samahani kama nimekukwaza.
Huyu jamaa karibu kila mada yuko negative,sijui kichwani yukoje!!
 
Back
Top Bottom