Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Mkuu elewa maana ya neno wapigaji

Watu wengi waliofunguo hivyo vituo wana maslahi binafsi..

Yupo jamaa mmoja naficha code zake kwa maslahi mapana ya utu na ubinadamu.

Ila anamiliki kituo cha kulelea watoto yatima,,lakini anayoyafanya sisi ndy tunaoyajuwa..
-- pesa za misaada anayopata anafanya maendeleo yake binafsi .mfano,

*Kujenga nyumba zake binafsi,,kununuwa Magari ,,mashamba nk huku walengwa(watoto yatima) wakiambulia patupu.

-- anapewa misaada ya madawa ya hospital lakini anaishia kuuza kwenye pharmacy binafsi na pesa kufanya mambo yake.

-- Kuna wafadhili wanasomesha watoto hewa kwa mgongo wa majina ya watoto yatima.
Mfano:
Mfadhili anahitaji majina ya watoto awasomeshe shule za english medium lakini majina yanayokwenda ni ya wajukuu zake na watoto wa ndugu zake, huku mfadhili anadhani anasomesha watoto yatima kumbe anasomesha watoto ambao wazazi wao wapo na sio yatima.

Tajiri analetewa majina ya watoto ambao sio yatima anasomesha bila kujuwa watoto walengwa ambao ni yatima wanasoma KAYUMBA
-- amekuwa akiuza Michele /sukari/nk ambavyo anapewa kama misaada kwa mgongo wa yatima.

Ninaposema wapigaji namaanisha...

Serikali inapaswa iangalie kwa makini eneo hili la watoto yatima.

Mtaje jina na jina la kituo,kitendo cha kumficha ni kuendelea kukumbatia uovu na utapeli anao ufanya.
 
Kwamkono disabled children Centre Handeni.

Ulizia mission kanisa Anglican Handeni Kwamkono.

Mbarikiwe mno.
 
Hao wa mjini hususa Dar wanaweza kufikiwa na wengi lakini wa mkoani vijijini kama Kwamkono Handeni sio rahisi kufikiwa huko kijijini lakini ukiweza kujitoa kuwafikia au kutuma misaada hakika thawabu yake ni kubwa sana na itakushangaza mno.
 
Ukiielewa Siri ya kwann wazungu wanasaidia Africa Sio kwamba wao Wanatupenda sana au wao hawana shida ya pesa.
Ndio utaelewa juu ya Siri hii.

Tueleze hiyo siri nas sisi tupate kunufaika na mchango wako katika forum hii.
 
Kama ambavyo Kuna wezi makanisani na misikitini, ndivyo ilivyo hata ktk huduma zingine.Kwa hiyo Hawa wanaodai Kuna wapigaji kwenye hii huduma tusiwapinge.Nisichokubaliana nao ni ku" generalize kuwa Wenye hidumà hii wote ni wapigaji! Ukitaka kujua maana ya huduma hii tembelea kituo kama Mburahati na Msimbazi wanakolea watoto wachanga!
 
Kama ambavyo Kuna wezi makanisani na misikitini, ndivyo ilivyo hata ktk huduma zingine.Kwa hiyo Hawa wanaodai Kuna wapigaji kwenye hii huduma tusiwapinge.Nisichokubaliana nao ni ku" generalize kuwa Wenye hidumà hii wote ni wapigaji! Ukitaka kujua maana ya huduma hii tembelea kituo kama Mburahati na Msimbazi wanakolea watoto wachanga!
✅👏🙏
 
Habari ya wakati huu wakuu. Ninaomba msaada wa taarifa ya kituo chochote cha kulelea watoto yatima ama watoto walio katika mazingira magumu ambacho kiuhalisia kina hali ngumu ya kimahitaji ya kawaida.

Kituo kiwepo Dar es salaam na nitaomba kama utaweza unisaidie mahali hasa kinapopatikana na mawasiliano ya namna ya kufika.

Asante.
Uongezewe zaidi pale utakapopunguza. Big up sana
 
Na wewe umejuaje hayo wakati hajatueleza hali ya familia na nduguze?Hayo ni mawazo yako kama vile alivyotoa mawazo yake.Mawazo ya kila mmoja yaheshimiwe.
Mtu kaomba msaada wa kujua vituo vya watoto yatima au msaada wa wapi apeleke msaada wake.
 
Vituo vingi vya Yatima ni miradi ya watu kuombea pesa kwa wazungu, hapo anapeleka misaada anapiga picha na kuomba tena
 
Wapo wakubwa wako vyuo. Wana maadili sana wale watoto. Mwenye kituo mama wa kirangi. Anawafundisha sana maadili na nidhamu kwa hlo nampa hogera sana
Namjua sana yule mama rafiki mkubwa sana wa mama ake Haji Manara. So unaniambia nikienda kuchumbia pale napata mke?
 
Back
Top Bottom