MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
"Charity begins at home"... say it right folksAnza na ndugu zako na wanaokuzunguka wenye mahitaji.
Charity begin at home.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Charity begins at home"... say it right folksAnza na ndugu zako na wanaokuzunguka wenye mahitaji.
Charity begin at home.
Ni mtazamo tu wa watu wenye mtazamo hasi. Mleta mada si mpigaji, bali ni mkarimu anayestahili kupewa ushirikiano.Kwa hio mleta mada mpigaji?
Mkuu elewa maana ya neno wapigaji
Watu wengi waliofunguo hivyo vituo wana maslahi binafsi..
Yupo jamaa mmoja naficha code zake kwa maslahi mapana ya utu na ubinadamu.
Ila anamiliki kituo cha kulelea watoto yatima,,lakini anayoyafanya sisi ndy tunaoyajuwa..
-- pesa za misaada anayopata anafanya maendeleo yake binafsi .mfano,
*Kujenga nyumba zake binafsi,,kununuwa Magari ,,mashamba nk huku walengwa(watoto yatima) wakiambulia patupu.
-- anapewa misaada ya madawa ya hospital lakini anaishia kuuza kwenye pharmacy binafsi na pesa kufanya mambo yake.
-- Kuna wafadhili wanasomesha watoto hewa kwa mgongo wa majina ya watoto yatima.
Mfano:
Mfadhili anahitaji majina ya watoto awasomeshe shule za english medium lakini majina yanayokwenda ni ya wajukuu zake na watoto wa ndugu zake, huku mfadhili anadhani anasomesha watoto yatima kumbe anasomesha watoto ambao wazazi wao wapo na sio yatima.
Tajiri analetewa majina ya watoto ambao sio yatima anasomesha bila kujuwa watoto walengwa ambao ni yatima wanasoma KAYUMBA
-- amekuwa akiuza Michele /sukari/nk ambavyo anapewa kama misaada kwa mgongo wa yatima.
Ninaposema wapigaji namaanisha...
Serikali inapaswa iangalie kwa makini eneo hili la watoto yatima.
Ufanywe uchunguzi wa vituo vyote mkoa wa Daresalaam..Mtaje jina na jina la kituo,kitendo cha kumficha ni kuendelea kukumbatia uovu na utapeli anao ufanya.
✅Kwa Dar angalau wanakumbukwa kusaidiwa kila mara. Kama ingewezekana tafuta vya mikoan au wilayan
Ni ushauri mzuri sana huu. Watu huwa tunajisahau.Mtoa thread ameomba kituo chha watoto yatima wenye uhitaji hajakwambia anaomba ushauri wa nani ampe msaada.
Tuwe waelewa some times
Ukiielewa Siri ya kwann wazungu wanasaidia Africa Sio kwamba wao Wanatupenda sana au wao hawana shida ya pesa.
Ndio utaelewa juu ya Siri hii.
✅👏🙏Kama ambavyo Kuna wezi makanisani na misikitini, ndivyo ilivyo hata ktk huduma zingine.Kwa hiyo Hawa wanaodai Kuna wapigaji kwenye hii huduma tusiwapinge.Nisichokubaliana nao ni ku" generalize kuwa Wenye hidumà hii wote ni wapigaji! Ukitaka kujua maana ya huduma hii tembelea kituo kama Mburahati na Msimbazi wanakolea watoto wachanga!
Acha kukurupuka sio lazima kila comment ureply.Wewe ndo unakosa uelewa, mwandishi ana maana, kama ana shida ya kituo anaweza kukipata bila kuja huku.
Uongezewe zaidi pale utakapopunguza. Big up sanaHabari ya wakati huu wakuu. Ninaomba msaada wa taarifa ya kituo chochote cha kulelea watoto yatima ama watoto walio katika mazingira magumu ambacho kiuhalisia kina hali ngumu ya kimahitaji ya kawaida.
Kituo kiwepo Dar es salaam na nitaomba kama utaweza unisaidie mahali hasa kinapopatikana na mawasiliano ya namna ya kufika.
Asante.
Mtu kaomba msaada wa kujua vituo vya watoto yatima au msaada wa wapi apeleke msaada wake.Na wewe umejuaje hayo wakati hajatueleza hali ya familia na nduguze?Hayo ni mawazo yako kama vile alivyotoa mawazo yake.Mawazo ya kila mmoja yaheshimiwe.
si wanasoma wale? Vipi wana maadili?Pana mabinti wazuri pale daah!
Itabidi vema kuoa mtoto mmoja yatima pale.
Wapo wakubwa wako vyuo. Wana maadili sana wale watoto. Mwenye kituo mama wa kirangi. Anawafundisha sana maadili na nidhamu kwa hlo nampa hogera sanasi wanasoma wale? Vipi wana maadili?
Namjua sana yule mama rafiki mkubwa sana wa mama ake Haji Manara. So unaniambia nikienda kuchumbia pale napata mke?Wapo wakubwa wako vyuo. Wana maadili sana wale watoto. Mwenye kituo mama wa kirangi. Anawafundisha sana maadili na nidhamu kwa hlo nampa hogera sana
Usijali nitachokaChoka tena