Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Nifahamishe kituo cha watoto yatima chenye uhitaji mkubwa sana

Mkuu kitu ninachojiuliza hadi sasa hasa kwenu mnaodai kuwa nimeuliza hili kwa nia mbaya ni nini hasa? Nimesema wazi tangu mwanzo na wajumbe wengi wamechangia. Naomba uwe mmoja wa tutakaofuatana kufika katika moja ya kituo ambacho tutaamua kwenda pale tutakapokua tayari. Namba yangu ya simu ni 0755963775 Au kama utapenda badi tuonane kwenye kikao ambapo tutaamua kituo ambacho twende na wewe uwe member
Mkuu, angalia kelele za abiria zisikupotezee mwelekeo. Kwani hujui kuwa karibia kila kitu kizuri mtu atakachotaka kukifanya, kuna uwezekano wa kupingwa na asilimia ishirini ya watu atakaowashirikisha? Hata liwe zuri kiasi gani, si rahisi likose wapinzani. Na wakati mwingine, lililo zuri zaidi ndilo lina uwezekano wa kupata upinzani mkubwa zaidi.

Usisumbuliwe na mitazamo hasi ya baadhi ya watu. Unapoona mtu anakutuhumu, usijisikie vibaya. Inawezekana tuhuma anazokutuhumu zinamuakisi yeye binafsi.

Kwa mwizi, ni rahisi kumwona kila mtu ni mwizi. Kwa mbinafsi, kila atakaloona linafanywa na mtu mwingine ataamini linamnufaisha yeye na siyo anayetendewa.

Wasamehe wanaokutuhumu. Inawezekana wengine wanaexpress hali ya nafasi zao. Wasamehe, lakini usiache kwenda kuwatendea mema watoto wahitaji.

Ni jukumu lako, ni jukumu letu. Kila mmoja atimize wajibu wake kwa kadiri ya uwezo wake.
🙏🙏🙏
 
Mkuu, angalia kelele za abiria zisikupotezee mwelekeo. Kwani hujui kuwa karibia kila kitu kizuri mtu atakachotaka kukifanya, kuna uwezekano wa kupinga na asilimia ishirini ya watu atakaowashirikisha? Hata liwe zuri kiasi gani, si rahisi likose upinzani. Na wakati mwingine, lililo zuri zaidi ndilo lina uwezekano wa kupata upinzani mkubwa zaidi.

Usisumbuliwe na mitazamo hasi ya baadhi ya watu. Unapoona mtu anakutuhumu, usijisikie vibaya. Inawezekana tuhuma anazokutuhumu zinamuakisi yeye.

Kwa mwizi, ni rahisi kumwona kila mtu ni mwizi. Kwa mbinafsi, kila atakaloona linafanywa na mtu mwingine ataamini linamnufaisha yeye na siyo anayetendewa.

Wasamehe wanaokutuhumu. Inawezekana wengine wanaexpress hali ya nafasi zao. Wasamehe, lakini usiache kwenda kuwatendea mema watoto wahitaji.

Ni jukumu lako, ni jukumu letu. Kika mmoja atimize wajibu wake kwa kadiri ya uwezo wake.
🙏🙏🙏
Sawa kabisa mkuu!
 
Mkuu, angalia kelele za abiria zisikupotezee mwelekeo. Kwani hujui kuwa karibia kila kitu kizuri mtu atakachotaka kukifanya, kuna uwezekano wa kupingwa na asilimia ishirini ya watu atakaowashirikisha? Hata liwe zuri kiasi gani, si rahisi likose wapinzani. Na wakati mwingine, lililo zuri zaidi ndilo lina uwezekano wa kupata upinzani mkubwa zaidi.

Usisumbuliwe na mitazamo hasi ya baadhi ya watu. Unapoona mtu anakutuhumu, usijisikie vibaya. Inawezekana tuhuma anazokutuhumu zinamuakisi yeye binafsi.

Kwa mwizi, ni rahisi kumwona kila mtu ni mwizi. Kwa mbinafsi, kila atakaloona linafanywa na mtu mwingine ataamini linamnufaisha yeye na siyo anayetendewa.

Wasamehe wanaokutuhumu. Inawezekana wengine wanaexpress hali ya nafasi zao. Wasamehe, lakini usiache kwenda kuwatendea mema watoto wahitaji.

Ni jukumu lako, ni jukumu letu. Kila mmoja atimize wajibu wake kwa kadiri ya uwezo wake.
🙏🙏🙏
You nailed it
 
Mkuu unanikosea sana. Ni kwa nini uniwazie hivi? Hapa JF ni wangapi nimekutana nao na kufanya nao kazi? Kama upo Dar katibu DM ili siku hiyo twende woote sehemu husika.

Sijui ni kwa nini watu tunapenda kuwawazia wengine vibaya.
Siyo kwamba watu wanapenda kuwawazia watu wengine vibaya, ila wao ndiyo wako hivyo. Kile kilichomo ndani ya mtu ndicho atakachokiona kwa wenzake.
 
Tatizo vituo vingi ni vya mchongo,hata mimi nina mpango wa kufungua kituo changu nipige hela.mimi ushauri wangu nenda pale wodi ya wazazi amana au mwananyamalla utaona wamama wanajifungua chini hawana hata hela ya panado wanaume zao walishakimbia siku nyingi ukiwapa hata sabuni ,dawa na nepi utakua umepeleka huduma panapostahili,au nenda temeke hospitali wodi mojawapo ukishirikiana na manesi utapata wagonjwa wasio na ndugu waliokosa huduma
Asante sanaa ndugu kwa hili wazo. Ubarikiwe 🙏🏾🙏🏾
 
Habari ya wakati huu wakuu. Ninaomba msaada wa taarifa ya kituo chochote cha kulelea watoto yatima ama watoto walio katika mazingira magumu ambacho kiuhalisia kina hali ngumu ya kimahitaji ya kawaida.

Kituo kiwepo Dar es salaam na nitaomba kama utaweza unisaidie mahali hasa kinapopatikana na mawasiliano ya namna ya kufika.

Asante.
Aisee kama inawezekana nenda vituo vya Yatima vya huko mikoani. Seriously wamesahaulika kabisa. Hawa wa hapa Dar angalau wanakumbukwa kidogo. Nilikuwa morogoro huko ifakara nilishindwa hata nianzie wapi. Wala masister wakatoliki wanaoshughulikia hawa watu Mungu awabriki sana. Mtoa mada ubarikiwe sana.
 
Tatizo vituo vingi ni vya mchongo,hata mimi nina mpango wa kufungua kituo changu nipige hela.mimi ushauri wangu nenda pale wodi ya wazazi amana au mwananyamalla utaona wamama wanajifungua chini hawana hata hela ya panado wanaume zao walishakimbia siku nyingi ukiwapa hata sabuni ,dawa na nepi utakua umepeleka huduma panapostahili,au nenda temeke hospitali wodi mojawapo ukishirikiana na manesi utapata wagonjwa wasio na ndugu waliokosa huduma
Nimefika Muhimbili kwa lengo hili ila sasa process ndefu sana kuandika barua kwa mkurugenzi then unasikilizia siku kadhaa ajibu ndio uruhusiwe kupata hao wagonjwa daah.
 
Any update kituo chochote cha yatima ambacho kipo town kabisaa hapa Dar
 
Huu ushauri mzuri, niliwahi kwenda temeke wale wanwatu wao choka mbaya wanawajua. Nilikutana na vitu vya ajabu hadi moyo ukasisimka. Zile sadaka naamini zilifika ikulu kwa Mungu sekunde hiyohiyo.

[mention]matunduizi [/mention] vipi hapo Temeke kuna watoto wakubwa pia … au ni kuanzia umri gani mpk umri gani
 
Habari ya wakati huu wakuu. Ninaomba msaada wa taarifa ya kituo chochote cha kulelea watoto yatima ama watoto walio katika mazingira magumu ambacho kiuhalisia kina hali ngumu ya kimahitaji ya kawaida.

Kituo kiwepo Dar es salaam na nitaomba kama utaweza unisaidie mahali hasa kinapopatikana na mawasiliano ya namna ya kufika.

Asante.
Mawazo mazuri san
 
Mtoa thread ameomba kituo chha watoto yatima wenye uhitaji hajakwambia anaomba ushauri wa nani ampe msaada.

Tuwe waelewa some times
Jibu safii sanaa kwa huyu maskini wa fikraa
Unazani kama ndugu zake wanadhiki na wa wengine wanayo.
Kama hujui tuliza mshono.

Mkuu utabarikiwa sanaA mkuu isivyo kawaidaa
 
Ukiona mbongo anatoa msaada jua yeye anapata Mara mbili yake za msaada anaotoa

Hauwezi elewa hizi Mambo ....
Kuna ubaya gani mkinufaika wote; yaani mtoa msaada na mpokea msaada?
Au kuna ubaya gani mtoa msaada akinufaika mara mbili huku yule ambaye hakuwa na msaada wowote akanufaika mara moja?
 
0756 41 41 01 Zaidia Orphanage Center. Sinza Madukani. Ni kituo cha kiislamu
Sasa kusema ni kituo cha kiislam maana yake hakipokei misaada ya makafiri? Au unafikiri jamaa anataka kuleta msaada wa nyama ya nguruwe?
 
Back
Top Bottom