Sasa kumbe sababu unaijua halafu unatusumbua tu hapa. Halafu na wewe mbona unaishi kimjini mjini wakati unajua anaogopa na wakati huo huo unamtaka. Hii ni sawa na kimbaka, mwache kijana wa watu akaoe kijijiniNilichomsoma ni mtu ambae anaogopa wadada wa mjini kupitia story zake
Muoneshe papuchi yaishe, hawezi vumilia aione halafu anyamaze.Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…
Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria[emoji3526] najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi..
Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..
Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..
Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo
Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Jibu haya maswali, ukijibu kwa ufasaha nitafanya haya....
1. Nitakwambia ikiwa anakupenda ama hapana.
2. Nitakwambia nini ufanye ili umpate.
Maswali....
1. Wewe ni kabila gani?
2. Wewe ni mweupe au mweusi kwa rangi?
3. Ni mrefu au mfupi?
4. Una shepu gani?
5. Ukiwa nae huwa unamwambia asante kwa chochote anachokufanyia?
6. Ukichelewa kufika sehem mliyokubaliana kukutana akakusubiria muda mrefu huwa unaomba samahani?
7. Mkiwa wote, wewe pia ni mwongeaji sana na huwa unamkatisha kabla hajamaliza kuongea?
Hayo ni kwa ufupi, ukiyajibu kwa moyo wa dhati bila unafiki, nakuambia anakupenda au hapana.
Ungezingatia hilo ungekua ushampata.Mjini hata wanawake bora wapo ni vile tu mnaonaga kama mjini wanawake ni wahuni unajua aliwahi niambia wanawake wa usukumani ni tofauti na wa town sikutilia maanani
Muoneshe papuchi yaishe, hawezi vumilia aione halafu anyamaze.
Ungezingatia hilo ungekua ushampata.
Iga zifa za wadada wa usukumani ili upate mume
Sasa kumbe sababu unaijua halafu unatusumbua tu hapa. Halafu na wewe mbona unaishi kimjini mjini wakati unajua anaogopa na wakati huo huo unamtaka. Hii ni sawa na kimbaka, mwache kijana wa watu akaoe kijijini
[emoji850][emoji850][emoji41]
We una nyege huna lolote hii ni thread ya ngapi unashusha hapa jukwaani kenge wee.Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…
Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi.
Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..
Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..
Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo
Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Kigimbi tani mbili 🤣🤣🤣🤣🙌, Mzee wa migombani unazingua daah 😆😆😆Dada tafadhali Mimi sio msukuma mi mtu wa Kilimanjaro sema nimeishi tu usukumani, hua naelewa sana signal zako sema wanawake jamii yako ww sio vitu vyangu kbs huna taaa co ll, una sauti nzito kigimbi tani mbili & na mdomo unatema harufu mbaya
Duh ndo umekuja kunitangaza hadi huku!
Anyway, sikupendi mana una kigimbi kama cha msuva
🤣🤣🤣 Mpaji Mungu vigimbi vimewakosea nini kwani?Duh ndo umekuja kunitangaza hadi huku!
Anyway, sikupendi mana una kigimbi kama cha msuva
We una nyege huna lolote hii ni thread ya ngapi unashusha hapa jukwaani kenge wee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpaji Mungu vigimbi vimewakosea nini kwani?
Ila usijali mim mwenyew nakulove pia[emoji15][emoji849]
Ile siku nlvyokutoa out nilionaUlikiona wapi na huwa navaa gauni za kitenge [emoji28]
Zamani hii ilikuwa mwiko ila saiv wakiona kuchelewa wanajisogeza wenyewe.Mimi kadogo2 kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kumpenda mwanaume, haijawai tokea hata siku moja kumpenda mwanaume bila yeye kuniambia kuwa ananipenda ndipo na mimi nijifunze kumpenda…
Mkaka wa kisukuma mimi nishampenda kiasi kwamba siachi kumfikiria najua atakuwa na mtu hilo
Mimi sijali kwanza hakuna wanaume single sasa mimi nitamtoa wapi.
Tunawasiliana na huwa anaonesha interested na mimi, japo muda mwinginee ana ni ignore hapo ndio ananivuruga.. natamani hata atamke kuwa ana nihitaji but hajawai Sema.. maneno yake ni yaleyale kila siku kusema anafurahi kunipata sijui kufahamiana na mimi..
Ukweli nina furahi uwepo wake.. huwa tunapata chance ya kutoka out ni yeye ananitoa story ni nyingi but hiyo nakupendaa hasemi… mimi nishazimika kwake mpk kuna muda huwa nina type sms kumwambia namna ninavyojisikia but naghairi naifuta naona atanichukulia kama muhuni mwanamke kumtongoza mwanaume..
Jamani huyu Kaka ameshajua kuwa nampenda sasa sijui kwanini ananifanyia hivyo
Naombeni ushauri juu ya Hii hali nimpoteze, nimemwambie au nife nalo moyoni… ukweli nimempenda kama ikitokea nikawa nae basi nitazikwa nae Simu A-C Hii[emoji12]🥹
Anyway, hiyo sio issue sana kuwa wa mjini au wa kijijini. Nilisema vile wewe mwenyewe ulijihukumu kuwa anakuona wa mjini na anogopa wanawake wa mjini.Aisee hivi mtu wa kijijini anaweza kufanana na wa mjini basi ni vigumu kwasababu mimi sijaishi huko so sijui life styles yao but mimi niko normal tu
Wa hali ya juu 😀Ubaguzi