Nifanyaje kumpata binti ambaye ni maarufu?

Hadi 300k wanaliwa, inategemea siku ikojee.
Wanaweka mapicha ya snap na filter ili kuwazuga watu wawa mwagie pesa ndefu lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
#MoneyTalks
 
Nakubaliana na wewe, hawa wa kizaman wengi wameungua na waliusambaza sana kpnd fln hasa kwa vigogo washamba walokua wanachipukia.
...kwa vigogo washamba...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ushamba mzigo mno kijana!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…