Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi uishie hapaPole sana mkuu.
Katika makosa yote ambayo hupaswi kumsamehe mwanamke ni CHEATING. Mwanamke msaliti hasameheki, sababu ya kutosameheka ni moja tu, hatoweza kuacha kurudia hiko kitendo cha kusaliti, either umejua au hujajua ila ataendelea tu na huo mchezo.
Tunza hizo picha sehemu kadhaa, kaa nae chini na umwambie mmefika mwisho wa mapenzi yenu. Achana na machozi atakayotoa, achana na maneno ya kujishusha na kuomba msamaha atakayotoa, ni hisia tu hizo ila ukishamrudisha ktk nafasi yake baada ya muda atasahau.
Tunakwambia hivi sababu tayari tumewahi kupitia mazingira kama yako, mwanamke aliyetolewa mahari au anakaribia kutolewa mahari hapaswi tu kucheat ila hata kuwaza kucheat hapaswi kabisa kuwaza. Dalili zote unazoona kwenye uchumba, ndani ya ndoa inakuwa ni mara mbili yake.
Tafuta humu wanaume waliowahi kusamehe wapenzi wao kwa kesi za cheating je, wake zao walibadilika?
Kwamba yeye ndo ana kisu kikali kuliko wote 🤣.Kama hamjaowana ni mali ya umma hiyo, usitusumbuwe.
Wewe ulimpataje wenzako washindwe?
Hapa maamuzi binafsi ndio sahihi sana. Ilimradi kama huna mpango wa kudhuru uhai kwa yeyote kati yenuHabarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
Hakuna mke hapo boss na ww chapa poteaHabarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
UshauriHabarini wadau.
Niende moja kwa moja kwenye mada...
Huyu mrembo wangu nimekuwa naye kwa zaidi ya miaka mitatu. Kabla hatujaanza kuishi pamoja alipata kazi mkoa wa mbali kidogo (dar) na hapa ninapoishi mimi (Arusha). Alienda na alifanya kazi hio kwa miezi 9 tu kisha akaachana nayo na kurudi nilipo mimi na kuendelea na shughuli alizokuwa akifanya kipindi cha nyuma.
Kwa vile tulishatambulishana na mahari nimemtolea sikuona vibaya kuanza kuishi nae kabla ya ndoa. Alibeba kila kilicho chake na kuhamia kwangu rasmi.
Juzi wakati tukiwa kwny stori za hapa na pale, aliomba kuangalia simu yangu ninayoitumia. Sikuona tabu nikampatia, cha ajabu hakuhangaika na vilivyomo ndani, badala yake alitoa kava na kuikagua jinsi ilivyo kwa nje kisha akatabasamu na kusema kuwa ameipenda, na kama haitakuwa noma tubadilishane simu.
Sikuwa na neno coz namjua anapenda sana show offs. Japo yake pia n simu kali ila nilimkubalia. Tukahamisha details muhimu then tukabalilishana simu.
Jana nlipotoka job sikuwa na la kufanya, nikaona si mbaya nipitepite kwa simu hii niizoee mkononi.
Nlijikuta nmefika kwny trash (zinapohifadhiwa picha na video zilizofutwa kabla ya kufutika mazima).
Nilikutana na picha nyingi sana za mwanamke wangu akiwa ktk moja ya fukwe maarufu sana dar na alipiga kipindi ambacho alienda huko alipopata kazi aloifanya kwa muda mdogo na kurejea mkoani. Amevalia nguo ambazo hata mimi sijawah kuziona.
Pia zipo video akiwa na jamaa flan hv wakibebana na kucheza kwenye mchanga wa Beach wakiwa nusu uchi.
Hapa nimepigwa butwaa sielew nichukue maamuzi yapi kwa sasa. Bado sijamwambia chochote had sasa.
Maoni yenu n muhimu wakuu.
PointKuanzia hapo hutakuwa na amani na huyo mwanamke mpaka unaingia kaburini......hicho ulichokiona kwenye simu ndio uhalisia wake.....na kimeweka muhuri wa moto moyoni mwako.........
Vita utakavyopigana navyo moyoni mwako ndio vitaamua uchukue maamuzi gani......
MAPENZI HAYASHAURIKI........
Pointi nne nzito sana hizi. Nimekupata kwa uzuri mkuu. AsanteUshauri
- Potezea kama vile hujaona ila itakutafuna ndani kwa ndani.
- Muulize akudanganye ili upate amani ya moyo.
- Husijifunge kwenye kivuli cha mahari.
- Sema na moyo wako fanya maamuzi sahihi kwa ajili ya kesho yako.
Karibu.Pointi nne nzito sana hizi. Nimekupata kwa uzuri mkuu. Asante
Kuna dem mmoja ni mzur sana huwa anasema kachapika sana dar lakin hakuna alietaka kumuoa mwsho wa siku aliamua kurudi mkoani ila anasema mijamaa ya dar inatoa hela vzur sana lakin kuoa haina habar kabisaKuna namna mwanamke wa mkoani akija Dar ataliwa tu...sio kama ni umalaya hapana huwa wanaona ni sifa kuwa na mwanaume dar ...hasa moshi na arusha...
Na akinogewa anahamia ila huku dar hataolewa na mwisho anakua malaya na anakosa yote kuna kaushamba flani hivi cha wanawake wa mkoani kwa wanaume wa dar....
Nakushauri kitu..hebu usimwache..mwambie kila kitu akikiri na kusema ukweli basi huyo anaweza kubadilishika ila akikaza jua imekula kwako..mwenzio anapenda beach za dar..!
Halafu mdogo wangu haraka ya ndoa na mahari ya nini na mwenzio humjui vizuri...vuta end brake...mcheki kwa mbaaali huku unammega kisela...hana muda atatandaza mkeka wote mezani
Tumia akili kwa amelezo ya jamaa alikuwa tayari amisha mtolea mahali maana kwa hali hiyo alikuwa Mke halala,kwa hiyo wewe unaona ni sawa Mke wa mtu ku act namna hiyo?Ukitaka Malaika. Muumbe wewe.
Kwani wewe huna mabaya yako ambayo yeye hajui?
Kuna hizo picha na video kwamba ulimkuta bikra kana kwamba Sasa amechepuka au