Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

Wewe ni Mha mkuu, au Mjita?
 
Kuna mwanasaikolojia namsikilizaga tiktok anasema" ujinga ukikubalika na wengi hufanywa kuwa fact na kundi hilo" sasa huenda nawe ukajiunga kwenye kundi la wajinga wanaoamini wapo sahihi kwa sababu ni wengi.
Osho alisema kundi kubwa la binadsmu hawajitambui kazi yao ni kufuata mkumbo.
 
Si
Siku moja Ukiona ffu wapo barabarani jogging simama wazuie! Utanishukuru baadae
 
Akipata uteuzi Mkurugenzi wa Halmashauri atabishana na watendaji wake pamoja na madiwani.
Atakuwa chanzo cha vurugu kwenye Halmashauri husika baadaye atatenguliwa.
 
Mkuu ni kweli kabisa
Naweza kukusikiliza vizuri tu ila msimamo na maamuzi yapo pale pale.
 
Asante
 
Kua msikilizaji mzuri kuliko muongeaji.

Kubali kujifunza au Usijifanye unajua sana hata kama unajua kweli..

Chukulia poa mambo mengine ukikuta wanabishana hata kama unajua sio lazima kuanza kufafanua.
Kwanini wakati wanadanganyana
Je nikifanya hivyo sio unafiki
 
Nenda KIGOMA Ukafanye mazoezi kwa vitendo ubishi utaisha...maana nimeona humu mmoja kasema waha wasihusishwe...ila tahadhari usijekuludi na tatizo lingine la Ubahili.
 

Ondoa hiyo avatar yako ya utajua wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…