fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Wewe ni mfupi wala hakuna cha wastani hapo😆Wa wastani futi 3.8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mfupi wala hakuna cha wastani hapo😆Wa wastani futi 3.8
Ni sawa na 118cm which implies kuwa wewe ni mfupi brother.Futi 3.8 =45.6 inches =0.000719697 miles
That is not dwarfism
Hata mimi sioni tatizo lake, ila lazima awe tayari kukosolewa na kujibu hoja.Binafsi sioni tatizo lako labda kama unapenda kufurahisha watu inakubidi utoke kwenye uhalisia wako uwafurahishe wengine.
Sure, Na sio lazima kukubali kila kitu ,isitoshe kibongo bongo kuna ujinga mwingi tunapenda kuaminishana.Hata mimi sioni tatizo lake, ila lazima awe tayari kukosolewa na kujibu hoja.
Kupenda kwake kusoma na kujua mambo, hakumfanyi mmiliki wa uelewa husika.
Lazima uwe tayari kukosolewa kwa hoja na kujibu hoja. Huo ndio utaratibu wa kujifunza, elimu aina mwisho.
Kweli wewe ni mbishi, futi 3.8 unabisha siyo dwarf? Hama kabila hilo.Futi 3.8 =45.6 inches =0.000719697 miles
That is not dwarfism
Huwa inakelra endapo unaye bishana naye hana hoja za msingi na hasa kwa jamba ambalo unalijua na unaishi naloTunafanana tabia isipokuwa sehemu moja tu, mimi napenda kukosolewa.
Lazima uwe mmbishi anaekupinga, akupinge kwa hoja.
Unaweza ukawa unaliishi ila pia ukawa hauna ufahamu nalo ,kuna jamaa alikua anaamini tumbo linalomuuma kalogwa ,yule jamaa nilimbishia kwa Dalili zake alikua na vidonda vya tumbo chronic mwisho wa siku kwa ujinga wake akakatwa utumbo.Huwa inakelra endapo unaye bishana naye hana hoja za msingi na hasa kwa jamba ambalo unalijua na unaishi nalo
Nip9 kama wewe ila nimejifunza kukaa kimya naongea inapobidi tu. Tatizo langu ninalopambana nalo ni kumkatisha mtu anapokuwa akibielezea jambo, nikishamelewa huwa namkatisha ili kumpa jibu, huwa naona ananichelewesha maana nakuwa nishamwelewa ila annaendelea tu kuelezea, tabia hii huwa inawakera watumishi wenzangu hasa ninaowaongoza takriban watumishi30Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Soma na kuelewa nikicho andika, nisema unalijua na kuishi nalo, kujua ninavyo fahamu mimu, is to know something in and outUnaweza ukawa unaliishi ila pia ukawa hauna ufahamu nalo ,kuna jamaa alikua anaamini tumbo linalomuuma kalogwa ,yule jamaa nilimbishia kwa Dalili zake alikua na vidonda vya tumbo chronic mwisho wa siku kwa ujinga wake akakatwa utumbo.
Nmekuelewa mbona, mimi nimeongezea tu wala sijakubishia chochote.Soma na kuelewa nikicho andika, nisema unalijua na kuishi nalo, kujua ninavyo fahamu mimu, is to know something in and out
Kujua VS kufahamu
Kumbuka huyo ni mbishiFuti 3.8 sio wastani we ni dwarf
Nimekuelewa pia kwavile tunaelimisha jamii kwa upana wake , noted with thanks and sorry for my over reactionNmekuelewa mbona, mimi nimeongezea tu wala sijakubishia chochote.
Anza kusoma vitabau vya dini.Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Usihofu sana ni hatua njema kama umeshajitambua hivyo. Je unatokea Mara, Kigoma au Mbeya?Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Soma biblia +tafakari neno la Mungu.Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Endelea kubishana, kwani inatudhuru nini sisi?Habari wanaJF,
Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.
Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.
Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.
Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.
Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi
Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.