Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

Nifanye nini ili niache tabia ya ubishi?

Binafsi sioni tatizo lako labda kama unapenda kufurahisha watu inakubidi utoke kwenye uhalisia wako uwafurahishe wengine.
Hata mimi sioni tatizo lake, ila lazima awe tayari kukosolewa na kujibu hoja.

Kupenda kwake kusoma na kujua mambo, hakumfanyi mmiliki wa elimu husika.

Lazima uwe tayari kukosolewa kwa hoja na kujibu hoja. Huo ndio utaratibu wa kujifunza, elimu aina mwisho.
 
Hata mimi sioni tatizo lake, ila lazima awe tayari kukosolewa na kujibu hoja.

Kupenda kwake kusoma na kujua mambo, hakumfanyi mmiliki wa uelewa husika.

Lazima uwe tayari kukosolewa kwa hoja na kujibu hoja. Huo ndio utaratibu wa kujifunza, elimu aina mwisho.
Sure, Na sio lazima kukubali kila kitu ,isitoshe kibongo bongo kuna ujinga mwingi tunapenda kuaminishana.
 
Huwa inakelra endapo unaye bishana naye hana hoja za msingi na hasa kwa jamba ambalo unalijua na unaishi nalo
Unaweza ukawa unaliishi ila pia ukawa hauna ufahamu nalo ,kuna jamaa alikua anaamini tumbo linalomuuma kalogwa ,yule jamaa nilimbishia kwa Dalili zake alikua na vidonda vya tumbo chronic mwisho wa siku kwa ujinga wake akakatwa utumbo.
 
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Nip9 kama wewe ila nimejifunza kukaa kimya naongea inapobidi tu. Tatizo langu ninalopambana nalo ni kumkatisha mtu anapokuwa akibielezea jambo, nikishamelewa huwa namkatisha ili kumpa jibu, huwa naona ananichelewesha maana nakuwa nishamwelewa ila annaendelea tu kuelezea, tabia hii huwa inawakera watumishi wenzangu hasa ninaowaongoza takriban watumishi30
 
Unaweza ukawa unaliishi ila pia ukawa hauna ufahamu nalo ,kuna jamaa alikua anaamini tumbo linalomuuma kalogwa ,yule jamaa nilimbishia kwa Dalili zake alikua na vidonda vya tumbo chronic mwisho wa siku kwa ujinga wake akakatwa utumbo.
Soma na kuelewa nikicho andika, nisema unalijua na kuishi nalo, kujua ninavyo fahamu mimu, is to know something in and out

Kujua VS kufahamu
 
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Usihofu sana ni hatua njema kama umeshajitambua hivyo. Je unatokea Mara, Kigoma au Mbeya?
 
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Soma biblia +tafakari neno la Mungu.
 
Habari wanaJF,

Nilikuwa naombeni msaada wa kimawazo nifanye nini kuacha tabia ya ubishi na kuwa na misimamo mikali usiyobadilika.

Hizi tabia nimeanza mdogo sana kubishia wazazi na kusimama na misimamo yangu mpaka mauti itakaponikuta.

Hii hali imepelekea kugombana na wengi pia kupendwa na wengi.

Na pia imepelekea kuwa msomaji na mdadisi wa mambo ilinikibisha na kusimamia kitu katika uelewa.

Tabia hii ya ubishi na misimamo mikali imesababishe nisipende kukosolewa kwa lolote lile na huku nikiamini nipo sahihi

Naombeni ushauri wenu ndugu nimekuwa kiumbe cha tofauti kabisa si amini Mungu kama nyie.
Endelea kubishana, kwani inatudhuru nini sisi?
 
Back
Top Bottom