Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?


Hii ni kama Kilimo cha Matikiti maji kwenye Makaratasi kama nadanganya Mkuu nipe bet history yako ya wiki hii ambayo kila siku ulikuwa unaweka odd 2 kwa 200k na ukamla Mfululizo! Ukiileta hiyo nitakuamini! Na mm nitaskusaidia kutoa ushawishi mkubwa watu wabeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Odd mbili zina chana kabisa
 
hahahahaa
 
poa endelea kusubiri ushuhuda nd uanze sawa
 
Lete mikeka uliyokula acha mboyoyo mingi Mkuu thibitisha kauli yako Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aisee mzee baba nimechoka kuattach maana kwa jf hakuna opt ya kumark so izi chache zinakutosha mkuu next time acha ubishi wa kiboya betting kuna watu wanatoboabna wengine wanaliwa so its depends with your fortune!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aaaaaah Kumbe ankai bhana Ulipotelea wapi Mkuu kitambo sana huonekani Kule


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naona umefukua makaburi ya Mwaka jana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Af iweje!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea ya laki 2 kwa wiki uza vilevi fungua bar, pub nzuri kama ya uwoya last minutes afu uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…